vetting ni nini?Hatari ya nini?
Hawa wote ni mabalozi, umewahi kuwasikia au kuwaona?
Mitanzani mingi ni mupunguani isiyo na uelewa ndiyo maana hatuendelei, roho mbaya tu.
Mtu kafunguwa mada, kashindwa hata kuwela ni balozi wa heshima wala hakutoa sababu hata moja kwanini asipewe ubalozi wa heshima, eti vetting. Anajuwa maana ya vetting za mabalozi wa heshima?
hii ni dharau isiyo na kikomo kwa jeshi na taifa kwa ujumlaThis is an insult kwa vijana wetu waliosoma na wakasota pale chuo cha diplomasia na sasa tazama hii...
Shimbo amekuwa reduced to this....
mkuu upo sahihi kabisa, unasemaje kuwa huyu salah ndio waziri ajaye wa foreign affairs chini ya Rais membe?Acheni upotoshaji Salah anafanya biashara zake china kihalali na ni mmoja wa watu anayesaidia watz wengi wanaopata matatizo ya kihamiaji
Pia lazima muelewe kuwa kutoka mji aliopo huyu mwarabu na ulipo ubalozi wa tz ni mile nyingi so si kila raia anaweza kumudu kusafiri kwenda huko kwa vipato vyao
Kwa upande wangu sioni kosa kama wameamua kumwomba awe balozi mdogo kwa msaada zaidi kwa watz
mkuu upo sahihi kabisa, unasemaje kuwa huyu salah ndio waziri ajaye wa foreign affairs chini ya Rais membe?
This is an insult kwa vijana wetu waliosoma na wakasota pale chuo cha diplomasia na sasa tazama hii...
Shimbo amekuwa reduced to this....
mheshimiwa balozi wa tanzania nchini china, amepata nafasi hiyo kwa sifa ya kuvaa nguo chupi ikiwa nje.
Acha wivu wa kike Salaah kaenda shule na hapo Guangzhou anawasaidia sana watanzania wafanya biashara, mbona nyie mnaongozwa na Mbowe kidato cha 4.
With The permanent secretary in the ministry of foreign affairs and international cooperation Mr. John Haule
Msiniulize vetting ya yeye kupewa Ubalozi huko Guangzhou China ilifanya lini, na nani na criteria zipi alizokuwa nazo huyu mwarabu wa Yemen mpaka kupewa Ubalozi.
1. Huyu jamaa hakufayiwa vetting yoyote ile whatso ever na usalama wa Taifa kabla hajapewa hiyo nafasi.
2. Familia yake na biashara zao zimekuwa kwenye kashfa nzito nzito za kwa ukwepaji kodi
3. Salaah hana elimu wala qualification yoyote ile ambayo ingemfaya apewe nafasi hiyo. As a matter of fact how can you give a diplomatic post kwa mtu ambaye kaishia standard 6?
4. Kwa sababu za kiusalama aka national security hafai kupewa hiyo nafasi.
5. Kwa sababu za national interest hafai kupewa hiyo nafasi
6. Foreign wapo watu wengi sana ambao wana qualify kupewa hizo nafasi na washapitia hiyo vetting na due dilligence
7. Salaah na familia yake hawana intergrity -both professionally and personally kuwa ma diplomats wa tanzania kokote kule duniani
Kuna vijana wengi wa Kitanzania ambao wamesoma,wazalendo na washafanyiwa vetting na usalama na wapo Foreign hawapewi
Sasa cha kujiuliza hibi serikali ya nchi hii ina maana gani kusomesha watu wake na kisha kuwaweka benchi pale foreign halafu wanaenda kumteua huyu mshihiri wa Yemen ambaye hakusoma kuwa balozi wetu huko china?
Mbaya zaidi utashangaa jinsi mawaziri na viongozi wa juu wa serikali wanavyo mnyenyekea wakati kuna vijana wa Kitanzania ambao wasomi wanaendelea kusota pale wizarani na nafasi hizi hawapewi.
From the left side Commissioner of Immigration Hon. Ambokile, SALAAH in the middle and Inspector General of Police Mr. Mangu
with his friend Samuel Sitta on Emirates First Class
wacha ufataani wewe, kosa ni nini? Ata huyo ni kijana weyu na kasoma.
Mbona wale wazungu na wachina waliopewa ubalozi wa hisani huwasemi? Tena si watanzania. Au macho yako yana makengeza?
Wewe mwenyewe ukifuatiliwa sana tunaweza kukuta siyo mtanzania wazazi wako waliamia kwa mweusi siyo kigezo.Bendera ya Tanzania iongezwe rangi nyingine maana hii nyeusi inawabagua watu hawa...wahindi,waarab nao wawe na utamburisho rasmi kwenye tunu na bendera ya Taifa.
Hivi wale wazungu na wachina waliopewa ubalozi wa hisani mbona hamuwasemi? au macho yenu yana makengeza vingine mnaona vingine hamuoni?
Hiyo skendo imethibitishwa wapi?
Tukiishi kwakuhukumu watu kwa skendo tu itakuwaje ktk jamii?
Tusiruhusu wivu...chuki...husda na vijiba vya roho vitawale nafsi zetu acheni kijana achape kazi anastahili...