KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 278
Bei gani?Una shilingi ngapi nikuuzie yangu, nimeinunua mwaka jana so bado mpya
Tuongee biasharaUna shilingi ngapi nikuuzie yangu, nimeinunua mwaka jana so bado mpya
Mkuu sema beiUna shilingi ngapi nikuuzie yangu, nimeinunua mwaka jana so bado mpya
Una milioni mbili nikupe Bose?Mkuu sema bei
Milioni mbili tu.Bei gani?
bose gani hiyo jamani....ebu weka picha zako tuioneMilioni mbili tu.
Ni bose 321 GSX Series III DVD Home Entertainmentbose gani hiyo jamani....ebu weka picha zako tuione
Bose naona watu wanaisifia sana ila issue nyumba za kupanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wawezajikuta unapewa notisi kila unakohamia
Kwa wapenzi wa muziki unatuelekeza tuelekee wapi?Kama wewe ni mpenzi Wa kusikiliza mziki tu achana na Bose. Kwa wapenzi wa movie, surround sound ni OK.
Kwa music tafuta hi fi music system utapata radha nzuri sana ya muziki kuliko home theatre.Kwa wapenzi wa muziki unatuelekeza tuelekee wapi?