Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,395
Hii habari ungeiweka kwenye udaku!
Kama ni kweli basi jamaa anatisha. Kukata seng'enge kwa meno!
Kama kuna mtu anaamini habari hii japo kwa mbali basi tuna tatizo kubwa zaidi katika bongo zetu....umeambiwa kakata nondo kwa meno..bado unasema "kama ni kweli"!!
Lol! Asante kutushtua :wink2: . Bonge la Movie!Halafu jamani mngesubiri kidogo. Tarehe mosi bado kidogo.