Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,267
- 422
mm ciipendi ccm ila kwa chadema bora ccm mara 1000 ni wabaguzi wa dini ndo mana chama chao maeneo ya wakristo ndio wanaoshabikia wanahubiriana siasa kanisani ccm imekua na nguvu kwa sababu haijali dini wala kabila na ndio kitu wanachokupigeni bao
UAMSHO NA CHADEMA wapi na wapi, we nenda tu kajilipue hapa ni nguvu ya umma inaongea