Goku 255
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 440
- 849
kulingana na muonekano wa maisha saiv naafadhalisha kuwa single kwa sababu upendo katika maisha ya ndoa haipo mwanamke anampenda mwanaume kwa sababu ya utajiri ilhali mwanaume anampenda mwanamke kimwonekano sanasana kwa hikii kizazi cha elf 2 ndicho ambacho hakiambilik kabisa kila kitu wao wanakijua kitu ambacho kimechangia ndoa kutokuwa na heshima ni kila mtu ni mjuaji tofauti na enzi za kale ambako heshima na upendo ilkuwa msingi wa ndoa miaka hiyo ungependw bila chochot na mapenzi yalkw na nguvu tofaut naasaiv ukitongoz dada yoyote kitu cha kwanza anakulz ni akaunti inasoma na kama haisomi anakueleza kuwa yeye hatembei na kinyago kitu kinachonyesha kuwa maisha saiv kupata upendo wa kweli n nadr sana aslimia kubwa ni usumbufu na kuchepuka ni kitu cha kawaida kuonyesha usipokuwa makini unaweza ukaua ama ukajiua na mimi kivyangu nimetamanigi mapenzi ya kweli lakini imekuwa ndoto mimi na afadhalisha bora niwe single maana upendo haupo na kupenda ni mateso bora niwe single maisha yangu yote