Marafiki wengi ni wanafiki, wanakuhoji maendeleo yako ukidhania wanapata insipiration kumbe roho zinawauma umewapiga gap, wakati nikitafuta job walijifanya kunishauri kumbe nikipita wananinyoshea vidole, hawakujua Mungu wetu ni mwaminifu hamtupi mja wake wanaanza kunihoji imekuwaje nimepata job, wakiwa na perception kwamba sikustahili hii nafasi, lakini ni nani awezaye kutabiri mambo ya kesho kama siyo Jehova, Mungu wa Israeli. Sasa nimeamua nikae kimya. Ndugu zangu ni Bora nipende maadui kuliko marafiki,maadui hawawezi kubadilika lakini marafiki wanabadilika .
Kumbe saa zingine tunapo haso mtaani wengine wanafurahi wakidhani hatuna Mungu,
Kweli kabisa ikiwa Umemtumaini Mungu kwa 100% ukiomba kwa moyo uliopondeka na kuonyesha juhudi zako hakuna lisilowezekana kwake Mungu.
Gud day the friendz of mine.
Kumbe saa zingine tunapo haso mtaani wengine wanafurahi wakidhani hatuna Mungu,
Kweli kabisa ikiwa Umemtumaini Mungu kwa 100% ukiomba kwa moyo uliopondeka na kuonyesha juhudi zako hakuna lisilowezekana kwake Mungu.
Gud day the friendz of mine.