Bora nimpende adui kuliko rafiki

Von Mo

JF-Expert Member
May 7, 2012
1,819
1,185
Marafiki wengi ni wanafiki, wanakuhoji maendeleo yako ukidhania wanapata insipiration kumbe roho zinawauma umewapiga gap, wakati nikitafuta job walijifanya kunishauri kumbe nikipita wananinyoshea vidole, hawakujua Mungu wetu ni mwaminifu hamtupi mja wake wanaanza kunihoji imekuwaje nimepata job, wakiwa na perception kwamba sikustahili hii nafasi, lakini ni nani awezaye kutabiri mambo ya kesho kama siyo Jehova, Mungu wa Israeli. Sasa nimeamua nikae kimya. Ndugu zangu ni Bora nipende maadui kuliko marafiki,maadui hawawezi kubadilika lakini marafiki wanabadilika .



Kumbe saa zingine tunapo haso mtaani wengine wanafurahi wakidhani hatuna Mungu,
Kweli kabisa ikiwa Umemtumaini Mungu kwa 100% ukiomba kwa moyo uliopondeka na kuonyesha juhudi zako hakuna lisilowezekana kwake Mungu.

Gud day the friendz of mine.
 
Marafiki wengi ni wanafiki, wanakuhoji maendeleo yako ukidhania wanapata insipiration kumbe roho zinawauma umewapiga gap, wakati nikitafuta job walijifanya kunishauri kumbe nikipita wananinyoshea vidole, hawakujua Mungu wetu ni mwaminifu hamtupi mja wake wanaanza kunihoji imekuwaje nimepata job, wakiwa na perception kwamba sikustahili hii nafasi, lakini ni nani awezaye kutabiri mambo ya kesho kama siyo Jehova, Mungu wa Israeli. Sasa nimeamua nikae kimya. Ndugu zangu ni Bora nipende maadui kuliko marafiki,maadui hawawezi kubadilika lakini marafiki wanabadilika .



Kumbe saa zingine tunapo haso mtaani wengine wanafurahi wakidhani hatuna Mungu,
Kweli kabisa ikiwa Umemtumaini Mungu kwa 100% ukiomba kwa moyo uliopondeka na kuonyesha juhudi zako hakuna lisilowezekana kwake Mungu.

Gud day the friendz of mine.

Yamewakuta wengi sio we peke yako,,kuna hadi wengine waliimba nyimbo mfano
1.MR NICE Kikulacho
2.NYOTA NDOGO Kuna watu na viatu
In short,,wapende usiwaamini
 
Hahahaaaa! Mwenyewe NIMENUNAAAAA!!!!! Iweje upate kazi ya 6 FIGURES, wakati wenzio TUNAFOULISHA Daily!!!!! NIMENUNAAAAA SANAAA! Haiwezekani sisi tukufariji alafu wewe ulete janja ya fisi kwa KUPATA BIG DEAL NA KUNYUTI KIMYAAAAAAAAAA!!!! HUKU UKILIFOULISHA MWENYEWE KIBINAFSI TENA KIMYA KIMYA? Khaaaaaaaa! Alafu lilivotiki FULL MASHAUZI NA KUTUCHAPA BAKORA!!!! Eboooo! Eti watutishia wataka KUAMIA MASAKIII KWA APARTMENT? Mara ohooo mi sinywi tena pale KIJIWENI SIO LEVEL ZANGU NANYWA DIDYS au Q BAR tuuuu! BAAAAAAAAAASS!!! Nyamafuuuuu! Tena unabahati sikujui ulikopata kazi, ningekuja KUKUHARIBIA!!!! Ngoja NIMALIZIE KUNUNA KWANGU KWA FANTA BARIDIIIIII!!!!!!!!!!! LOLEST!!!
 
Hivi bado kuna watu wana marafiki? Mbona hayo mambo ya urafiki yalishaisha zamaniiiiiii. Hujui rafiki yako ndiye adui yako mkuu?? Futa kabisa habari za marafiki. Ishi wewe kama wewe, salimiana na kila mtu, msaidie yeyote unayeweza, tenda wema kwa yeyote utakayemkuta popote, biashara ya marakiki FUTAAAAAAAA!
 
Mbona masela si ni shangwe tu, upate kazi nzuri ndo tunafurah as kupata mshkaji mpya wa kumkopa tukifulia...tunachukia pale mwana tuliokuwa wote kitaaa upate mchongo mzuri halafu ututenge ulete za kidingi kujifanya mkax kwa wana hapo lazima tukumaindi tu.... Tatizo wakuja ndo wanaleta mbwembwe kikazi kidogo tu vibega juu na mbwembwe but wa downtown hawatupani kamweeee.. Ndo maana hadi leo ramadhan dau anaenda kijiwen migo migo kucheza bao na watu wake, kelvin twissa upanga sana tu, abdala shelukindo sana tu pale container oystrbay, hasheem thabeet sana tu pande za sinza, yaan na wengine kibao friends wa ukweli hawaachan kisa michongo au kazi ndo maana hata juzi kati paru and stella walikuw pamoja fiesta na wengine kibao as mnajuana since childhood
 
Marafiki wengi ni wanafiki, wanakuhoji maendeleo yako ukidhania wanapata insipiration kumbe roho zinawauma umewapiga gap, wakati nikitafuta job walijifanya kunishauri kumbe nikipita wananinyoshea vidole, hawakujua Mungu wetu ni mwaminifu hamtupi mja wake wanaanza kunihoji imekuwaje nimepata job, wakiwa na perception kwamba sikustahili hii nafasi, lakini ni nani awezaye kutabiri mambo ya kesho kama siyo Jehova, Mungu wa Israeli. Sasa nimeamua nikae kimya. Ndugu zangu ni Bora nipende maadui kuliko marafiki,maadui hawawezi kubadilika lakini marafiki wanabadilika .



Kumbe saa zingine tunapo haso mtaani wengine wanafurahi wakidhani hatuna Mungu,
Kweli kabisa ikiwa Umemtumaini Mungu kwa 100% ukiomba kwa moyo uliopondeka na kuonyesha juhudi zako hakuna lisilowezekana kwake Mungu.

Gud day the friendz of mine.

nilishajifunza siku nyingi sana kuhusu marafiki better to deal with my dear lovely family they will never blackmail me ever aver,marafiki bana ,ngoja nikupe kisa cha ukweli kabisa nimepitia maisha magumu sana yenye misukosuko na dharau nyingi sana,nilikuwa na rafiki yangu kipenzi sanana niliishi naye na familia yangu,ikafika wakati kwa sababu ya background hakuna aliyeamini maisha ninayoishi sasa,mungu alininyanyua kutoka 2km -100km bwana we siku nimetoka honeymoon alipoziona pete zangualiniuliza hiyo ni tanzanite!nikamwambia kama munguaishivyo ni tanzanite ,basi tukahama pale tulipokuwa tunakaa tukahamia kwetu nikiwa na yule rafiki yangu alikuwa hajawahi paona kwangu alipofika tu pale alitaharuk akaniuliza ni gharama ngapi nikamwambia its more than 200m akataharuki alipoondoka aliacha na begi lake na kila kitu akakata mawasilianompaka leo,seems hakufurahia kabisa mafanikio yangu ,yule akawandio rafiki wa mwisho na sitaki tena rafiki ,
 
Nimeambiwa eti jamii ya kabila la wachaga hawana tabia za kuwa na marafiki? wanakuwaga na jamaa tu wa kupotezea.
Kuna kabila zingine urafiki una nafasi kubwa kama wapare,wamakonde,wakwere, wandengeleko. Kigezo cha kuwafahamu huwa hawana maendeleao binafsi.
 
.tatizo sio marafiki........

Tatizo ni sie wenyewe na uchaguzi wa rafiki......

Urafiki upo wa aina nyingi kutegemea na tabia ya rafiki husika....nina maanisha ukishamchunguza vya kutosha rafiki utajua umweke kundi gani.....

Rafiki mpenzi/best au rafiki wa stori tu.... Kuna rafiki wa kunywa nae bia tu.... Na rafiki wa kubadilishana mawazo tu..... Na kuna rafiki wz kutabasamiana tu.......na rafiki wa kupeana 'hi' tu.....

Kuna rafiki mwingine ni wa kufuata umbea tu.....
 
Hivi bado kuna watu wana marafiki? Mbona hayo mambo ya urafiki yalishaisha zamaniiiiiii. Hujui rafiki yako ndiye adui yako mkuu?? Futa kabisa habari za marafiki. Ishi wewe kama wewe, salimiana na kila mtu, msaidie yeyote unayeweza, tenda wema kwa yeyote utakayemkuta popote, biashara ya marakiki FUTAAAAAAAA!

Mi huwa sina interest na bongo fleva ila kuna wimbo umeimbwa na Mr. Sugu (sihitaji marafiki) nimeupenda sana!
 
nilishajifunza siku nyingi sana kuhusu marafiki better to deal with my dear lovely family they will never blackmail me ever aver,marafiki bana ,ngoja nikupe kisa cha ukweli kabisa nimepitia maisha magumu sana yenye misukosuko na dharau nyingi sana,nilikuwa na rafiki yangu kipenzi sanana niliishi naye na familia yangu,ikafika wakati kwa sababu ya background hakuna aliyeamini maisha ninayoishi sasa,mungu alininyanyua kutoka 2km -100km bwana we siku nimetoka honeymoon alipoziona pete zangualiniuliza hiyo ni tanzanite!nikamwambia kama munguaishivyo ni tanzanite ,basi tukahama pale tulipokuwa tunakaa tukahamia kwetu nikiwa na yule rafiki yangu alikuwa hajawahi paona kwangu alipofika tu pale alitaharuk akaniuliza ni gharama ngapi nikamwambia its more than 200m akataharuki alipoondoka aliacha na begi lake na kila kitu akakata mawasilianompaka leo,seems hakufurahia kabisa mafanikio yangu ,yule akawandio rafiki wa mwisho na sitaki tena rafiki ,

umenena vema, mwenye kusikia na asikie.
 
aysee nakuunga mkono na nakuongezeana mguu...............kama kuzikwa watu watakuja tuu! ya nini kupeanza presha za moyo! yaaaaani ..............mh!!!



Hivi bado kuna watu wana marafiki? Mbona hayo mambo ya urafiki yalishaisha zamaniiiiiii. Hujui rafiki yako ndiye adui yako mkuu?? Futa kabisa habari za marafiki. Ishi wewe kama wewe, salimiana na kila mtu, msaidie yeyote unayeweza, tenda wema kwa yeyote utakayemkuta popote, biashara ya marakiki FUTAAAAAAAA!
 
Martin LutherJr. aliwahi kusema hivi:
"Siopogi kelele za maadui zangu, lakini ukimya wa marafiki zangu unanitisha!
 
Kwenye issue za marafiki naweza kusema maneno milioni moja
Nimejifunza sana na uamuzi wa mwisho nilikuwa nao ni kuwa rafiki yangu ni familia yangu tuu mke na wanangu ndio marafiki zangu wa ukweli
Sina mtu ambaye naweza mwita rafiki maana wengi ni wanafiki wanacheka na wewe usoni ila moyoni ni wabaya sana
So bora kukaa na watu wanaoitwa washkaji kama alivyosema BADILI TABIA hapo juu wengine wa kunywa bia siku moja moja, au kusalimiana au kupeana ushauri wa mambo madogo madogo yamaisha ila sio masuala nyeti hayo nitaongea na familia yangu, tukutane club kula bata kwa pamoja ila sio mtu kwa kumwambia huyu ni rafiki yangu ni unafiki uliopindukia
 
Last edited by a moderator:
maybe it is you who needs to change....uchaguzi wako wa marafiki ni mbovu. niangalie hilo
 
Back
Top Bottom