Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba

Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba

Mzazi msomeshe mtoto dema dema nae hivyo kiugumu miaka minne si mingi mwanao five na six atasoma bure hadi chuo kikuu sio mkopo yaani ni bure alimradi awe amefaulu. Hapo ndo utamjuwa NGOYAI LOWASSA
 
kwakua kilimo ni sehemu ya tulio wajinga poa. mkaribishe huku, ila atahitaji bwana shamba.

Hilo umekumbuka????!.

Ni aheri mitihani ya ACSEE ikazwe kisawasawa wafaulu wachache wapewe mikopo wote kuliko hii kadhia watoto wa maskini kufunga mabegi kurudi makwao. Otherwise mechanism ifanyike kuruhusu private org kutoa mikopo kwa wanafunzi.
 
Ni aheri mitihani ya ACSEE ikazwe kisawasawa wafaulu wachache wapewe mikopo wote kuliko hii kadhia watoto wa maskini kufunga mabegi kurudi makwao. Otherwise mechanism ifanyike kuruhusu private org kutoa mikopo kwa wanafunzi.

Na ikikazwa na wanafunzi wakakomaa wakafaulu wote itakuaje??.
 
Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba,bora aendelee tu na kilimo maana ata angefika Chuo angekosa mkopo kwa iyo kaniondolea stress za kusomesha maana uko mbele angekosa mkopo
Mkuu tulichagua elimu bure hadi form four, hii ya chuo kikuu bure tulikataa, umesahau Mara hii?
 
Back
Top Bottom