Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba

Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba

Askari Muoga

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
6,112
Reaction score
4,663
Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba,bora aendelee tu na kilimo maana ata angefika Chuo angekosa mkopo kwa iyo kaniondolea stress za kusomesha maana uko mbele angekosa mkopo
 
Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba,bora aendelee tu na kilimo maana ata angefika Chuo angekosa mkopo kwa iyo kaniondolea stress za kusomesha maana uko mbele angekosa mkopo
Hiv Na wewe ni mzazi kweli au pombe iko kichwani mkuu,,,
Subili pombe iishe uje uone ulichoandika humu
 
Fyatueni watoto wa kutosha ,maana watasoma bule kabisa.
 
Kwa sababu ukusoma huwezi jua thamani ya elimu miaka Tisa ijayo watapata Mkopo wote hapo ndo utajuta
 
Alafu unamatumaini kabisaa kuwa siku moja umasikini utaondoka kwenye familia yako???
Jiongeze mkuu.
 
*kama una mpenz wako aliyemaliza standard seven" darasa la saba" mwangalizie matokeo yametoka*[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora uje tena badae maana Ulichoandka km Umetoka lala
 
Ni kilimo chenye tija au kama hicho unachofanya weye mzazi wake hata mumsomesha mwanao sekondari hun uwezo? Siku hizi kilimo kinahitaji elimu pia hivyo ni bora ukawekeza kwenye elimu ya mwanao!!
 
wakati unakata mauno hao unaotaka wampe mkopo hawakuwepo. acha kukwepa majukum pumbaf!
 
Bora Mtoto wangu alivyo feli Darasa la saba,bora aendelee tu na kilimo maana ata angefika Chuo angekosa mkopo kwa iyo kaniondolea stress za kusomesha maana uko mbele angekosa mkopo
nadhan na yeye anajuta sana kua na mama kama ww
 
Alafu unamatumaini kabisaa kuwa siku moja umasikini utaondoka kwenye familia yako???
Jiongeze mkuu.

kwakua kilimo ni sehemu ya tulio wajinga poa. mkaribishe huku, ila atahitaji bwana shamba.

Hilo umekumbuka????!.
 
Mpaka kafeli kweli bora akae nyumbani maani akili nzito sana hiyo
 
Kama ulichoandika ni kweli.......we ni bonge la kiazi mkuu.
 
Back
Top Bottom