Bora kuwa single au kuwa katika mahusiano?

Bora kuwa single au kuwa katika mahusiano?

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,315
Reaction score
8,754
Oya Niaje wana wa aliye juu.. leo ni Ile siku mwana wa Adam anaenda kusulibiwa(it's sad Japo ni story[emoji23][emoji23])..ila maisha lazima yaendelee..

Eti wadau Kwa mtazamo wa haraka ni ipi Bora.. Yani kuwa single au kuwa katika mahusiano??

Thread Over![emoji23]
 
Inategemea ntu na ntu kama Mimi ni bora niwe single kuliko kumingle maana akili zangu na maduu haziendani.
 
Kuwa kwenye mahusiano hata kama ni mazuri au mabaya maana kila kitu kinachopita katika maisha yetu kinafunzo
 
[emoji23][emoji23][emoji23] espy
Kweli kabisa huo ni umri wa kuabstain kabisa haswa kwa mwanamke, mwanaume wa kibongo hadi 33 ndio anatakiwa awe na mahusiano ya kuelekea ndoa.
 
Kuwa single kuna raha yake ila shida ni matamanio ya mwili tu maana hautakua na uhakika wakula,
 
to each his own......, ndio maana ma-single wapo na couples wapo.., vile vile kuna single wenye huzuni kutamani kuwa couples and vice versa..., na kuna two single wapo very happy wakiwa wote.., ila tu wakiwa couple wote furaha inatoweka..., hence to each his own...
 
Back
Top Bottom