YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
Mara nyingine m2 unasema hapa ndio kwetu ngoja nikomae lakini kila kukicha mambo yanavyoenda unazidi kupata mawazo labda nikajaribu huko magharibi maana kero, siasa danganyifu na matatizo chungu tele yanaongezeka kwa mtanzania hasa vijana.
Wadau ma-diaspora na wote mliowahi kupiga boksi mnashauri nini kwa kijana graduate aliyesomeshwa na bodi ya mkopo anaepanga ku-give up kazi hapa (mwajiriwa sekta binafsi) nchini na kwenda kuanza moja US. Wote tunafahamu kuwa hakuna sehemu yenye maisha rahic duniani lakini je diaspora hebu tupeni uzoefu....benefits wa DV, Tier 1 na waliojilipua....vp maoni jamani??
Wadau ma-diaspora na wote mliowahi kupiga boksi mnashauri nini kwa kijana graduate aliyesomeshwa na bodi ya mkopo anaepanga ku-give up kazi hapa (mwajiriwa sekta binafsi) nchini na kwenda kuanza moja US. Wote tunafahamu kuwa hakuna sehemu yenye maisha rahic duniani lakini je diaspora hebu tupeni uzoefu....benefits wa DV, Tier 1 na waliojilipua....vp maoni jamani??