Hoja zijibiwe kwa hoja sio kwa vitisho vya aina yeyote ile !! Inabidi watu wajitafakari sana sio kumshambulia Bashiru ! Yale yalikuwa ni maoni yake tu ambayo ni haki yake pia!!Bashiru anawatia wazimu!!??
maandiko kama haya ndio mnazidi kumpa kiki
Hapo sasa ndio kasheshe ilipo na nadhani atakuwa ameihifadhi sehemu salama sana!!Mimi namshauri Bashiru ile PDF ya waloikwiba mali za Chama awe anaachia kila wiki page moja.
Itakua fresh kwa kuanzia.
Mimi namshauri Bashiru ile PDF ya waloikwiba mali za Chama awe anaachia kila wiki page moja.
Itakua fresh kwa kuanzia.
Mkuu mrangi, vitu vingine ni siri za watu, sio kuviulizia public!.Kwa hiyo wazaz wake hawakutokea tz
Siyo
Ova
Mkuu Papasa, kwa hili, karibu hapa Dr. Bashiru, If you are a man of Principles, Hata Wakushukie vipi Stand Firm!, Don't Apologize!, Utaheshimika Zaidi na Zaidi! na hapa Mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Hayati Magufuli, walisifiwa, walikosolewa! Haki ya kusifu/kupongeza iende sambamba na haki ya kukosoa! na hapa Wito: Ibara ya 18 ya Katiba iheshimiwe na wote! Kusifu na kupongeza ni haki, kupinga na kukosoa pia ni haki - si uadui, si chuki, si kinyume!Sawa tuna kubali kwamba huyu jamaa ni mchafu na pengine hasafishiki, lakini hoja zake alizotoa zina mashiko na ajibiwe kwa hoja vile vile na sio kushambuliwa kwa kejeli.
Sijamtolea vitisho, nimemkumbusha tuu!, ukiishi mahali kwa hisani, na fadhila, uwe na heshima na adabu, sio mtu unahisaniwa, unafadhiliwa, halafu unaleta chokochoko!. Ukibebwa, bebeka na utulie!, sio mtu unabebwa, unaanza kuhangaika kumsumbua mbebaji, utabwagwa!.Na nimeshangaa kwa mtu kama wewe kuanza kumtolea vitisho vya kujua asili yake,
Hapa sijazungumzia asili za makabila!, hapa nimezungumzia watu wana data za wazazi wa mtu walitokea wapi kabla ya kuhamia Tanzania!. Watanzania halisi ni watu wote waliokuwa kwenye ardhi ya Tanzania ile saa 5:59 usiku wa tarehe 8/12/1961!. Raia wa nchi jirani nyingine zote, waliohamia Tanzania na kusetlle Tanzania, sio Watanzania. Wakizaa mtoto wakiwa Tanzania, mtoto huyo anakuwa na uraia wa Tanzania wa kuzaliwa, birth right, lakini pia anakuwa na uraia wa Wazazi wake!. Atakapotimiza umri wa miaka 18, anapaswa kuukana uraia wa wazazi wake kwa maandishi ndipo anakuwa ni Mtanzania!. Huko maeneo ya mipakani kuna majirani zetu wengi tuu wamehamia hapa kwetu kinyemela, wame settle, wameoa, watoto wao wamezaliwa Tanzania, hivyo ni Watanzania wenzetu!, but when it comes to uongozi, they have to declare!, hivyo ndivyo alivyofanyiwa Azim Premji, Jnerali ulimwengu, Kinana, Bashe, they declared!. Kuna Watanzania wenzetu wengu tuu wengine ni mawaziri!, wazazi wao sio Watanzania, walihamia nchini kwetu kinyemela!, wao wamezaliwa hapa, lakini hawakuwahi ku declare!, tunawajua na tumenyamaza akiwemo naniliu!.ukija kwenye suala la asili ya watu utamaliza wote, makabila mengi Tanzania yana asili ya nchi nyingine yalipo tokea, hivyo vitisho havi saidii kitu jibuni hoja
Na mkamkalia kimya kipindi hichoHaya mambo angekuwa anayaongea wakati yupo madarakani tungemuona wa maana sana. Ila hasira zake za kipimbi ndio anaona amwage mboga. WaTanzanka tumeshakubali kubali kuwa wajinga sasa sijui wanahangaika nini kutuprove kuwa wao ni bora.
Duh !Ucshangae na Jiwe yupo ktk list
Kwa taarifa hizi mbona Kama tupo uchi kwa majirani hasa kwenye kitengo Cha usalama maana nafasi nyeti Kama uwaziri zinapaswa kuwa za wazawa kwa kuzingatia misingi ile mitatu ya uraiaMkuu Papasa, kwa hili, karibu hapa Dr. Bashiru, If you are a man of Principles, Hata Wakushukie vipi Stand Firm!, Don't Apologize!, Utaheshimika Zaidi na Zaidi! na hapa Mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Hayati Magufuli, walisifiwa, walikosolewa! Haki ya kusifu/kupongeza iende sambamba na haki ya kukosoa! na hapa Wito: Ibara ya 18 ya Katiba iheshimiwe na wote! Kusifu na kupongeza ni haki, kupinga na kukosoa pia ni haki - si uadui, si chuki, si kinyume!
Sijamtolea vitisho, nimemkumbusha tuu!, ukiishi mahali kwa hisani, na fadhila, uwe na heshima na adabu, sio mtu unahisaniwa, unafadhiliwa, halafu unaleta chokochoko!. Ukibebwa, bebeka na utulie!, sio mtu unabebwa, unaanza kuhangaika kumsumbua mbebaji, utabwagwa!.
Hapa sijazungumzia asili za makabila!, hapa nimezungumzia watu wana data za wazazi wa mtu walitokea wapi kabla ya kuhamia Tanzania!. Watanzania halisi ni watu wote waliokuwa kwenye ardhi ya Tanzania ile saa 5:59 usiku wa tarehe 8/12/1961!. Raia wa nchi jirani nyingine zote, waliohamia Tanzania na kusetlle Tanzania, sio Watanzania. Wakizaa mtoto wakiwa Tanzania, mtoto huyo anakuwa na uraia wa Tanzania wa kuzaliwa, birth right, lakini pia anakuwa na uraia wa Wazazi wake!. Atakapotimiza umri wa miaka 18, anapaswa kuukana uraia wa wazazi wake kwa maandishi ndipo anakuwa ni Mtanzania!. Huko maeneo ya mipakani kuna majirani zetu wengi tuu wamehamia hapa kwetu kinyemela, wame settle, wameoa, watoto wao wamezaliwa Tanzania, hivyo ni Watanzania wenzetu!, but when it comes to uongozi, they have to declare!, hivyo ndivyo alivyofanyiwa Azim Premji, Jnerali ulimwengu, Kinana, Bashe, they declared!. Kuna Watanzania wenzetu wengu tuu wengine ni mawaziri!, wazazi wao sio Watanzania, walihamia nchini kwetu kinyemela!, wao wamezaliwa hapa, lakini hawakuwahi ku declare!, tunawajua na tumenyamaza akiwemo naniliu!.
p
Na huo ndio ukweli mchungu!! Hata miti siku moja itaongea !!Upuuzi wa Bashiru mwachie.
Chukua HOJA yake.
Hatuwezi kusifia Eti Anaupiga mwingi'' wakati Nchi nzima Iko gizani Kwa HUJUMA za mawaziri.
Akinyamaza Bashiru, " MAWE". Yatapaza sauti.
Ameeeen.
TumekusomaYes mimi ni mwanaccm damu. Lakini nikimsikiliza Dkt. Bashiru akikosoa wanaomsifia mama napata kichefu chefu.
Huyu ndo katibu mkuu wa kwanza wa CCM kufanya biashara ya kununua wapinzani kwa pesa za walipa Kodi wa nchi hii. Tulikuwa tunaumia saaana na kuona ubakwaji wa demokrasia lkn tuliamua kukaa kimya wapinzani walikuwa wanalia hadharani nasi tulikuwa tunalia kimya kimya
Tulikuwa tunakumbuka chaguzi ndogo za ubunge wa Tarime baada ya kufariki Chacha Wangwe, uchaguzi mgodo wa Arumeru kwa Nasari kufuatia kifo cha Jeremiah Summari na ule wa Igunga kwa Rostam Azizi kujiuzulu ubunge jinsi CCM ilivokuwa inashindana kwa hoja na CHADEMA ( japo hazikuwa sahihi 100%) lakini kulikuwa na demokrasia
Sasa njoo uone chaguzi ndogo za Bashiru za mbunge asubuhi anatoka CHADEMA, jioni anagombea CCM na anakuwa mbunge. Dkt. Bashiru kaa kimya mzee wetu
Huyu ndie alienukuliwa akitamka hadhari kuwa CCM unatumia dola kubaki madarakani leo atatuambia nini
Inawezeka ana hoja ya msingi lakini inatia kinyaa kahaba kukuhubiria uache uzinzi ni kweli uzinzi ni dhambi lakini kahaba anapata wapi moral authority ya kuwakemea wengine
Mimi nadhani angebaki na ubunge wake amalizie muda wake akafundishe chuo kikuu basi.
Acha kumsingizia kua ni ndugu yake P. Kagame.Naunga mkono hoja, ila akimaliza ubunge wake, kurudi chuo itakuwa too late, atakuwa by passed na age, hivyo nashauri arudi tu kijijini kwake pale Ibwera akagombee ubunge, sisi tunao mjua, hatutotoa siri ya asili yake, wala ya wazazi wake, wala hatutasema walitokea wapi na walihamia lini hapo Ibwera, kwasababu wenzake wengi wapo, tunawajua na hatuwataja hivyo hata yeye asiwe na wasiwasi, hatutamja, huyu ni mwenzetu, siri za asili yake ziko salama, hatuta zitoa!.
P
Mkuu the Shark, kati ya mimi na wewe, sasa ni nani anamsingizia?. Mimi nimesema naijua asili ya halisi ya wazazi wake, sikusema wametoka wapi!. Wewe sasa ndio unamsingizia!.Acha kumsingizia kua ni ndugu yake P. Kagame.
Mkuu Kinkunti El Perdedo, our borders are very porous, mtu anazaliwa upande wa pili, anavuka kusemea huku na kugeuka Mtanzania just like that!. Wale jamaa wa vetting si lolote sii chochote ni hakuna kitu pale!. Niliwahi kushauri kitu japo nililaumiwa kwa ubaguzi, but I was right!. Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu?Kwa taarifa hizi mbona Kama tupo uchi kwa majirani hasa kwenye kitengo Cha usalama maana nafasi nyeti Kama uwaziri zinapaswa kuwa za wazawa kwa kuzingatia misingi ile mitatu ya uraia
"Ulicho kipata bila juhudi huweza kupotea pasipo juhudi"
Miaka Ile ya 2013-2015 tuliweza kuwadhibiti Kwa namna Fulani ikiongozwa na Op kimbunga ila kipindi Cha Mzee baba hali ilikua mbaya sana nimekaa kule Karagwe na Rusumo miaka ya 2017 na 2018 hali ni mbaya kweli kweli.Mkuu Kinkunti El Perdedo, our borders are very porous, mtu anazaliwa upande wa pili, anavuka kusemea huku na kugeuka Mtanzania just like that!. Wale jamaa wa vetting si lolote sii chochote ni hakuna kitu pale!. Niliwahi kushauri kitu japo nililaumiwa kwa ubaguzi, but I was right!. Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu?
P
Kuna vitu tukiwaeleza watu humu, wanatuona ni wabaguzi, lakini huu ndio ukweli mchungu, na kitu kibaya kuhusu sisi, hawa jamaa wako very bright, very inteligent na very strategic!.Miaka Ile ya 2013-2015 tuliweza kuwadhibiti Kwa namna Fulani ikiongozwa na Op kimbunga ila kipindi Cha Mzee baba hali ilikua mbaya sana nimekaa kule Karagwe na Rusumo miaka ya 2017 na 2018 hali ni mbaya kweli kweli.
Kuna mda inabidi tuseme tu ukweli mchungu mwaka 2017 nineshuhudia Mkuu wa wilaya ya Karagwe na kamati yake ya wilaya wanafukuzwa na kushambuliwa Kwa mikuki na mishale kwenye ardhi ya Tanzania (Karagwe) na wahamiaji haramu na Kuna maeneo Mtanzania ufiki kabisa wamehodhi maeneo na wanasema kwao na wanaofanya ivyo sio Watanzania ni wageni tu ambao tumeamua kuishi nao Kwa wema.Kuna vitu tukiwaeleza watu humu, wanatuona ni wabaguzi, lakini huu ndio ukweli mchungu, na kitu kibaya kuhusu sisi, hawa jamaa wako very bright, very inteligent na very strategic!.
P
Akili za makabila hazifanani!, unajua ni watu wa kabila gani wanaongoza kwa akili Tanzania?. Ni Wahaya!. Tumshukuru Mungu kwa mkoloni, Wahaya ni sehemu ya Bunyoro Kingdom, eneo lote la interlucustrine, wana akili sana, kati yao kuna Abahima na Abahuru, hawa Abahima ni very inteligent, wengi wao ni Tutsi, Hutus wengi ni Abairu.Sidhani kama Wana akili kutuzidi ila utu wetu ndio unatuumiza tunaweza ku deal nao vizuri ila Kwa sasa tunahitaji timing wametunajisi sana.
Kama kweli anayo hiyo listi, akiiachia page 1 hawahi kutoa ya pili atajikuta yuko kwenye sanduku kuelekea KATERERO.Mimi namshauri Bashiru ile PDF ya waloikwiba mali za Chama awe anaachia kila wiki page moja.
Itakua fresh kwa kuanzia.