Bora Dkt. Bashiru akae kimya tu

Tutajie asili ya Kinana ; Bashe na Bi tozo. Au mpaka waiseme Chchiemu vibaya?
 
Na baadaye hayo aliyoyasema Bashiru nani alitakiwa ayaseme ? Au hakukuwa na sababu yeyoye mambo yale kusemwa hadharani ?
 
Sasa njoo uone chaguzi ndogo za Bashiru za mbunge asubuhi anatoka CHADEMA, jioni anagombea CCM na anakuwa mbunge. Dkt. Bashiru kaa kimya mzee wetu
 
Sasa njoo uone chaguzi ndogo za Bashiru za mbunge asubuhi anatoka CHADEMA, jioni anagombea CCM na anakuwa mbunge. Dkt. Bashiru kaa kimya mzee wetu
So-hasa za Dunia ya Tatu !! Hatari sana
 
Kaka Pascal ulihusika na lile sekeseke lililompata Ulimwengu miaka ile ya urais wa Mkapa?. Umenitisha sana mzee wa kitengo pale Saint Peters.
 
Nadhani kimataifa Uraia wa mtoto unaanzia Nchi aliyozaliwa !! Ila kwa Tanzania au kwa Tanganyika ni tofauti na mataifa mengine! Sijui ni kwanini !!
Uraia una formular tatu tuu dunia nzima
1. Uraia wa kuzaliwa - popote pale ulipozaliwa, ndio unakuwa na uraia wa hapo ulipozaliwa as birth right. Uraia huu hauwezi kuondolewa na yeyote.
2. Uraia wa pili ni uraia wa wazazi wako - mtoto anapozaliwa anakuwa na uraia wa mahali alipozaliwa na uraia wa wazazi wake. Mfano wewe ni Mtanzania unaishi Marekani, mtoto wako anapozaliwa anakuwa na uraia wa Marekani na Tanzania, kwa nchi zenye uraia pacha, anaendelea nao, lakini kwa Tanzania yenye uraia mmoja, mtoto huyo akitimiza umri wa miaka 18, itambidi achague moja, ama kuendelea uraia wake wa Marekani na kuukana Utanzania, ama kuukana Umarekani na kuchagua Utanzania.
3. Uraia wa kuomba na kuandikishwa.
P
 
Umeendika ujinga mtupu unanhnualiwa wee ni kichaaa au haujjtambua
 
Upuuzi ulioongea hapa haufananii kabisa na wewe.... Au kuna mtu kaandika Kwa niaba yako?
 
Na wewe za kwako tuziweke wazi?
 
Kaka Pascal Umenitisha sana mzee wa kitengo pale Saint Peters.
Mkuu Phillipo Bukililo, mtu wa kitengo, angeweza kuleta bandiko kama hili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Au hili Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? kwanini nilete humu nisipeleke ofisini?.

Mkuu wa TISS ni CinC, ningekuwa kule, baada ya kuona maisha ya CinC yako hatarini, kwanini nisiripoti kitengo, na badala yake nikaja kuripoti humu?, US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? mwisho wa siku you know what happened!, kwanini sikusaidia?.

Kinachofanya watu humu kunidhania, ni kufuatia wazazi wangu wote wawili, baba na mama both ni watu wa huko, hivyo watu kudhani mwana wa nyoka ni nyoka!, sisi tumezaliwa 8!, kama watoto wote wa kitengo wanaajiriwa kitengo, hicho kitengo kina watu wangapi?. Kati ya sisi 8, mwenye watoto wachache ni 6!, mimi ninao 10 wa home!, hicho kitengo kitakuwa na watu wangapi?.

P
 
Tutajie asili ya Kinana ; Bashe na Bi tozo. Au mpaka waiseme Chchiemu vibaya?
Blackmail in actions !! Ukiwa sio mwenzetu kazi unayo !! Alisemaga Rais Bush baada ya ile September eleven “If you’re not with us you’re with them. !!
 
Paragraph yako ya pili ndipo hapo penye abracadabra ya watu kuonewa na kuwa blackmailed kama kwa namna moja au nyingine utaonekana wewe hukubaliani na vimbwanga vyetu hata kama ni vya Ulozi 😅 !! Na ndipo jibu la kwanini Tanzania wakubwa hawataki kusikia Dual citizenship linapopatikana ! Very sad 😔
 
Bashiru anawatia wazimu!!??
maandiko kama haya ndio mnazidi kumpa kiki
 
Mimi namshauri Bashiru ile PDF ya waloikwiba mali za Chama awe anaachia kila wiki page moja.

Itakua fresh kwa kuanzia.
 
Hivi wangoni asili yao ni wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…