Bora chadema ife tu

Umenikumbusha falsafa ya Trump kuhusu Covid-19!

Jamaa alisemaga wakiacha kuwapima watu, korona nayo kwishney!
 
Nimpongeze mjenzi mkuu wa Chadema mpaka kufikia hapa ilipofikia kutamaniwa na mabaradhuli yasiyo na utu wala shukurani, hakika bw. Mbowe ni mfano wa kuigwa, To toils for 25 year, in thrething chadema, ni kazi ya jasho na damu ni kazi ngumu sana, na ya kizalendo sana, ngoja tuone Hawa wadandiaji kwa mbele kama watakimudu!
 
Watekaji na wauaji hawataacha kuua wakati ccm ingali madarakani. Kwani hao cuf na chadema ndio wauji?

Kuiua chadema sio kukomesha wauaji, kukomesha wauaji ni kuondoa chama kinachokaa madarakani kwa mgongo wa wauaji.
Sidhani kama Chadema itakufa it is an ideology. wananchi wanaimani nayo mno hususani vijani. hawaoni kimbilio jingine. ni tofauti ilivyokiwa NCCR AU CUF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…