Boniface Mwabukusi - Rasmi jeshi la polisi ni jumuiya chini ya mwamvuli wa CCM

Boniface Mwabukusi - Rasmi jeshi la polisi ni jumuiya chini ya mwamvuli wa CCM

Rais wa chama cha mawakili Tanganyika msomi Boniface A.K Mwabukusi pia asema bora jeshi la Polisi likapewa usajili na msajili wa vyama vya siasa Tanzania
Mwambukusi anamaliza mwaka wake hapo TLS hajafanya chochote. Anatakiwa atupatie mapato na matumizi ya TLS
 
Aliekuzidi cheo ni bosi wako... Hii ni fact kulingana na namna Taasisi za ulinzi n usalama zinavyofanya kazi.

Ukiwa chini yakupasa kupokea Amri na si vinginevyo. Ila; ukiamua kuwa na vinginevyo, basi, bila shaka wewe ni Mkaidi na ni Muasi na 'automatically' wewe ni Muhaini...

KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Aliekuzidi cheo ni bosi wako... Hii ni fact kulingana na namna Taasisi za ulinzi n usalama zinavyofanya kazi.

Ukiwa chini yakupasa kupokea Amri na si vinginevyo. Ila; ukiamua kuwa na vinginevyo, basi, bila shaka wewe ni Mkaidi na ni Muasi na 'automatically' wewe ni Muhaini...

KUPANGA NI KUCHAGUA
Nadhan hufahamu, si kila amri inapokeea kuna amri batili na sahihi

Ukishakuwa seniour officer unaelewa, na unawez hoji itakusaidia kutokuingia kwneye mitego, maana viongz wanatabia ya kunawa na kukuangushia jumba bovu
 
Mwambukusi anamaliza mwaka wake hapo TLS hajafanya chochote. Anatakiwa atupatie mapato na matumizi ya TLS
Acha ufala wako Mwambukusi amekuwa Rais bora sana kwa sasa kwani amekuwa msema kweli pasipo unafiki na uchawa
 
Hamna jeshi hapo hiyo ni uvccm tu . Wanatumika zaid ya pads 🧻🧻🧻🧻
Polisiccm hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria bali wanafanya kazi kwa mujibu wa Amri haramu za kishetani toka kwa Ma-ccm
 
Mwambukusi anamaliza mwaka wake hapo TLS hajafanya chochote. Anatakiwa atupatie mapato na matumizi ya TLS
Oya sikiliza point anazoongea hio anayofanya ni mojawapo ya kazi ya waliomchagua mawakili TLS sio mafala km wewe na wale mawakili wenu machawa wa TPBA
 
Aliekuzidi cheo ni bosi wako... Hii ni fact kulingana na namna Taasisi za ulinzi n usalama zinavyofanya kazi.

Ukiwa chini yakupasa kupokea Amri na si vinginevyo. Ila; ukiamua kuwa na vinginevyo, basi, bila shaka wewe ni Mkaidi na ni Muasi na 'automatically' wewe ni Muhaini...

KUPANGA NI KUCHAGUA
Siyo kila amri ni halali.
Unapaswa kutii au kutekeleza amri halali tu.
 
Siyo kila amri ni halali.
Unapaswa kutii au kutekeleza amri halali tu.
Polisiccm hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria kwa sasa bali wanafanya kazi kwa mujibu wa Amri haramu za kishetani toka kwa maccm
 
Back
Top Bottom