Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Nilipata nafasi ya kuongea na mtu wa karibu wa Sugu ambaye alikuwa mstari wa mbele kwenye kampeni.
Aliniambuia kwa masikitiko sana kuwa dakika za mwisho TMK wa Fela walikataa kata kata kumpa suport Sugu eti walikuwa bize mara kampeni zilivyoanza wakaonekana kwenye majukwaa ya CCM.
Aliniambuia kwa masikitiko sana kuwa dakika za mwisho TMK wa Fela walikataa kata kata kumpa suport Sugu eti walikuwa bize mara kampeni zilivyoanza wakaonekana kwenye majukwaa ya CCM.