101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni yaani tulikuwa tunasema wachina ndio Wanakula vitu vya ajabu kumbe wao Hawafui dafu mbele ya watu wa Cambodia Katika jiji PHNOM PENH.
Bwana bongo ZOZO ameonyesha utayari wa kutaka kula VYAKULA hivyo vya ajabu akiwemo buibui, Nyoka, popo, jongoo, chura, barare,kunguru, Nyoka, siafu, mjusi, senene,chavichavi,viwavi jeshi,konokono,funza na wengineo
Je wew Chakula gani cha ajabu umewahi kula?
Link Hyo hapo chini
Bwana bongo ZOZO ameonyesha utayari wa kutaka kula VYAKULA hivyo vya ajabu akiwemo buibui, Nyoka, popo, jongoo, chura, barare,kunguru, Nyoka, siafu, mjusi, senene,chavichavi,viwavi jeshi,konokono,funza na wengineo
Je wew Chakula gani cha ajabu umewahi kula?
Link Hyo hapo chini