KIMAROO
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 453
- 258
Hivi jamani nyie huwa mnawaelewa hawa wanaojiita mastaa wa Bongo?? unakuta mtu anajiita staa anajivimbisha mbele za watu lakini hana mahala pakuishi pakueleweka, Akili ya kuwekeza hawana matokeo yake wakiporomoka kidogo tuu wanaishia kuombaomba hivi hwajifunzi toka kwa mastaa wa nje?? si wamwangalie hata Chamilioni sasa hivi anampango wakuuza bodaboda zenye jina lake baada yakutoa simu.ELIMIKENI NYIE MALIMBUKENI acheni kulewa sifa za kijinga....pia mbona nyie siyo wabunifu yaani mnaigana siyo watangazaji, wanamuziki wala waigizaji hamuwezi kuja na style yenu binafsi???? KHAAA!!!!!! .........