Newword
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 326
- 299
Nimefuatilia mchuano huu na nimebaini kwamba baadhi ya majaji wanakatisha tamaa vipaji vipya kwa kutoa lugha za kejeri.Mfano wa lugha hizo ni kama vile
1. We huwezi kabisa
2.We unapiga kelele huimbi
3.Jaribu kutazama wasanii wengine.
Tujaribu kuwapa moyo vijana wetu si kuwavunja moyo.
1. We huwezi kabisa
2.We unapiga kelele huimbi
3.Jaribu kutazama wasanii wengine.
Tujaribu kuwapa moyo vijana wetu si kuwavunja moyo.