Bongo sasa wanagongesha magari kwenye treni

Bongo sasa wanagongesha magari kwenye treni

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,933
New+Picture+%2823%29.png
New+Picture+%2825%29.png
New+Picture+%2824%29.png


Ajali hii imetokea Kitunda Relini ambapo gari Toyota Rav 4 lilipogongana na kichwa cha treni. Hakuna viashiria vya kukatisha njia au uzembe wa dereva?
 
tupe kitu live hapa wewe au hii ni taarifa ya dharura
?
 
hali hii inasababishwa na watumiaji wa vyombo vya moto. Sijui ni lini tutaanza kutumia busara zetu?
 
Back
Top Bottom