Aliniambia...mengi ya kuchunga kama stendi ya abiria kwa wafungwa/ mchizi sikusoma nae tulikutana tu ukubwani/ udogoni sikucheza nae lakini ndo mchizi wangu wa ukubwani/
Hakufurahi nilipoanguka alipenda nikamate laini/ so inabid wanibanie ili ma mc wengine wa-shine