daniel last lecester
Member
- Dec 18, 2015
- 22
- 12
Muda umeenda Sana ukilinganisha na kule mziki Wa Bongo fleva ulipotoka nafikiri mziki umekua kiasi kuelekea kule lengo linapoitajika.. Kwa wewe Ni nyimbo gani unazikumbuka na haziwezi potea kichwani mwako unaweza uka share hapa hivo tukapata ladha za kitambo