Bonge la Zari aisee

Bonge la Zari aisee

Na kenyewe huko kaliko kanasema kamejiokotea embe dodo chini ya mnazi..ukute kalikosa tu sehemu ya kulala kakaamua kujilengesha kwako kisa una gari..kamekula vizuri na kunywa,kamelala vizuri na nauli kamepata,na raha ya mahaba kamepata yani huko kalipo kanakuona mzuzu kweli wewe..hahaaa
Haswa!!!!
 
Back
Top Bottom