Bonge la Zari aisee

Bonge la Zari aisee

Habarini wadau,

Ijumaa mida ya jioni ya saa12 nimekatiza maeneo ya maili moja stendi kuna kabinti kakaliii kamevaa skin Jeansi ya Blue mpauko na T-shirt ya kumbana kuonyesha shepu yake vema begi la mgongoni kakanipiga mkono nikasimama kakaniomba lift, kakakaa siti ya nyuma.

Kakaniomba simu kampigie mwenyeji wake, akapigaaaaaa weeee jamaa hapatikani wakati huo mi hata sijakasemesha lolote, tukafika maeneo ya Mbezi mi nikamwambia nimefika mtaani kwangu so ye anaelekea wapi? hana majibu kashikwa na kigugumizi nikampeleka Bar flani tukakaa nikamnunulia msosi akaniambia ametoka Dodoma (UDOM) na amekuja Dar kuna jamaa yake walipanga kuonana nae bahati mbaya simu yake akiwa njiani ikazima chaji so akawa hana mawasiliano na jamaa na hajui anapokaa.

Nikamuuliza so unafanyaje? kama vipi twende home akakubali kishingo upande, basi nikampeleka kwangu nikashinda nae hadi leo asubuhi na hakuhangaika tena kumtafuta mshikaji wake nimempeleka Mbezi kachukua usafiri karudi kwao Dodoma shukrani zimuendee jamaa kwa kumleta binti Dar

Nimejiokotea Dodo chini ya Mwarobaini.


View attachment 1225619
chuo cha udom saiz wamefunga hakuna wanafunzi....yy katokea udom ya wapi?
 
Nimeona ID mkuu so najua ninachosema

Pale mbeya carnival kuna malaya wana Id fake za chuo cha uhasibu (TIA),kaa chonjo ndugu yangu.
Umewasahau wale unakutana nao njiani mdada mzuri anasema kapoteza pochi anaomba nauli..sasa hao wamekuja na hiyo mpya..yani mimi muhehe nipo iringa huku nakushinda ujanja,allaaahhh
 
Pale mbeya carnival kuna malaya wana Id fake za chuo cha uhasibu (TIA),kaa chonjo ndugu yangu.
Umewasahau wale unakutana nao njiani mdada mzuri anasema kapoteza pochi anaomba nauli..sasa hao wamekuja na hiyo mpya..yani mimi muhehe nipo iringa huku nakushinda ujanja,allaaahhh
we jamaa una wivu kinoma yaani malaya asiniombe hela atoe huduma bure siku3???
 
Habarini wadau,

Ijumaa mida ya jioni ya saa12 nimekatiza maeneo ya maili moja stendi kuna kabinti kakaliii kamevaa skin Jeansi ya Blue mpauko na T-shirt ya kumbana kuonyesha shepu yake vema begi la mgongoni kakanipiga mkono nikasimama kakaniomba lift, kakakaa siti ya nyuma.

Kakaniomba simu kampigie mwenyeji wake, akapigaaaaaa weeee jamaa hapatikani wakati huo mi hata sijakasemesha lolote, tukafika maeneo ya Mbezi mi nikamwambia nimefika mtaani kwangu so ye anaelekea wapi? hana majibu kashikwa na kigugumizi nikampeleka Bar flani tukakaa nikamnunulia msosi akaniambia ametoka Dodoma (UDOM) na amekuja Dar kuna jamaa yake walipanga kuonana nae bahati mbaya simu yake akiwa njiani ikazima chaji so akawa hana mawasiliano na jamaa na hajui anapokaa.

Nikamuuliza so unafanyaje? kama vipi twende home akakubali kishingo upande, basi nikampeleka kwangu nikashinda nae hadi leo asubuhi na hakuhangaika tena kumtafuta mshikaji wake nimempeleka Mbezi kachukua usafiri karudi kwao Dodoma shukrani zimuendee jamaa kwa kumleta binti Dar

Nimejiokotea Dodo chini ya Mwarobaini.


View attachment 1225619

Ukapime na ukimaliza uje utupe results hapa
 
Nazani yeye ndo amekuweza ukiangalia tu jinsi ulivyokutana nae sujui ulipata wapi ujasiri wa kulala nae tena kwako...!
Anyway chuo bado kimefungwa sijui UDOM ipi umeambiwa??
 
Nazani yeye ndo amekuweza ukiangalia tu jinsi ulivyokutana nae sujui ulipata wapi ujasiri wa kulala nae tena kwako...!
Anyway chuo bado kimefungwa sijui UDOM ipi umeambiwa??
Mkuu kwa umri wangu siwezi kuwezwa na mtu ambaye ana ID na sijampa hata nauli ya kwenda kwao, sa kaniuzia nini??
 
Mjini wanawake ni wabunifu Sana. Natabiri, ulimpa nauli ya Dar to Dom
 
Back
Top Bottom