Wale wako flexible wewe unafikiri ni wale wazee wa FIVE STARS, wazee wa CHANNEL 5 wanaoogopa hata kivuli cha rangi nyekundu.ngoja wazee wa libolo waikatae hiyo rangi oohooo
saa hizi wapo bagamoyo wanaloga ukiuliza utaambiwa kambi,sasa sijui ni kambi ipi ikwa juzi tu wametoka nje ya nchi.Wale wako flexible wewe unafikiri ni wale wazee wa FIVE STARS, wazee wa CHANNEL 5 wanaoogopa hata kivuli cha rangi nyekundu.
Kumbe kambi ya uturuki ni kwa ajili ya mechi tatu tu, ngoja tuone na mechi ya watani wataenda wapi. Uturuki walienda kubadilisha msosi tu huku viongozi wakifanya biashara zao tu.saa hizi wapo bagamoyo wanaloga ukiuliza utaambiwa kambi,sasa sijui ni kambi ipi ikwa juzi tu wametoka nje ya nchi.
uturuki wakacheza na wauza maji halafu wakatuambia wamecheza na wajerumani,yote kwa yote simba na yanga zinatia aibu mkuu.hazifanani na majina yao.Kumbe kambi ya uturuki ni kwa ajili ya mechi tatu tu, ngoja tuone na mechi ya watani wataenda wapi. Uturuki walienda kubadilisha msosi tu huku viongozi wakifanya biashara zao tu.
Ngoja tuone mwaka huu Azam atafanya nini akianzia na shughuli ya Jumamosi ili kuleta changamoto kwa viongozi wa hizo timu mbili kubwa.uturuki wakacheza na wauza maji halafu wakatuambia wamecheza na wajerumani,yote kwa yote simba na yanga zinatia aibu mkuu.hazifanani na majina yao.