Bomu la Petrol laja. Serikali msiseme hamjaambiwa

Bomu la Petrol laja. Serikali msiseme hamjaambiwa

Wao wamejuaje kama mwezi ujao watapandisha bei. Nani kavujisha hiyo siri toka ewula? Na hao Ewula wayaipandisha kwa kigezo gani?
 
Eti jamani nini hiki??
Mafuta hakuna ni hujuma za upinzani au mabeberu au ukosefu tu wa uzalendo??
Au ndiyo tutaambiwa watu wanatumia mafuta ovyo!

Maana hizo ndizo sababu za msingi tunazopewaga watz kila mara..

Hili la watu kujipanga foleni kuvizia petrol tumekuwa Venezuela??

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Suala la Msingi ni Kwamba mafuta Yameshuka sana Bei kwenye soko la Dunia kimsingi tunatakiwa kuuziwa Lita kwa bei ndogo.

Ila Hawa wafanyabiashara wakubwa watafanya Masanaa yapande tena mwezi ujao mana wanajuana ni rahisi kupanga.

Lakini Cha msingi hata ukijaza madumu Utatumia siku ngapi?? Muda mfupi sana.Kitu cha kudumu ni Serikali kuthibiti bei.
 
Back
Top Bottom