Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
jamani hii kitu noma................
Bazee benzangu ambao tuna ka muda karefu hapa duniani kabla........bongo flava haijaja nadhani mnakumbuka jinsi ambavyo bolingo ilitushikaga sana enzi hizo. Sasa ni vizuri kupitia thread hii........tupeane vitu vizuri ili roho zetu zitulie...tujikumbushe zaidi mie nitakuwa nakuja na videos muweze kuona na kusikiliza. Pia nitawadirect software ya kudownload you tube musics na kuziconvert ili tuzisikie kwenye simu zetu , magari nk.
Leo naanza na kitu kinaitwa Liberez cha JB Mpiana kwa kweli utapenda........sikiliza sauti na gitaa yaaani acheni tu.
Jb Mpiana- Liberez (Quel Est Ton Probleme?) - YouTube