Boflo zadoda Znz

Boflo zadoda Znz

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Biashara ya Mikate ya Boflo Zanzibar yadoda baada ya kupanda kwa bei
Wakazi wengi wa Visiwani Zanzibar wanapenda sana kutumia mikate ya Boflo kama ni chakula cha asubuhi,kutokana na kupanda bei kwa mikate hiyo hivi sasa hulundikana kwa wingi katika matenga kadhaa,pichani ni matenga ya mikate ikiwa imekaa wazi bila ya kufunika ukizingatia kipindi hiki cha upepo na mvua zinazonyesha.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1357449340.853813.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1357449340.853813.jpg
    41.6 KB · Views: 200
Jamaa ID yake ni boflo then kaleta thread ihusuyo boflo, safi sana nimeipenda hii.
Back to topic, safi sana acha ziendelee kudoda tu.
Sasa kama wazenji wanashindwa hata kuafford price ya kununua boflo tu, je wataweza kuafford gharama za maisha mara tu Muungano utakapovunjwa? Watahangaika sana hawa zanzibaris. Tuwaache wapumue na boflo zao. Inshaalah
 
fedha za kununua bunduki na risasi za kuulia wabara wanazo, za kununua ma-boflo hawana?. uwaache wapumue waweze kununua boflo.
 
fedha za kununua bunduki na risasi za kuulia wabara wanazo, za kununua ma-boflo hawana?. uwaache wapumue waweze kununua boflo.

aisee kuna watu wajinga sijapata kuona. wee mbara gani alouliwa na mzanzibari? umepata kuona jambazi mzanzibari? umewahi kusikia albino kauliwa znz? umewahi kuona kibaka akichomwa moto znz? umewahi kusikia mauaji ya vikongwe znz? umewahi kuona mtu aliyechunwa ngozi znz?
 
huyu mjinga2 ndugu niwa2 wa mfumo ati pesa ya kununua bunduki kuua wabara wanazo!wazenj ni wa2 makin sana! na hal ngumu sio2 kwao hata bara mpaka ulaya eg ugirik ,spain
 
aisee kuna watu wajinga sijapata kuona. wee mbara gani alouliwa na mzanzibari? umepata kuona jambazi mzanzibari? umewahi kusikia albino kauliwa znz? umewahi kuona kibaka akichomwa moto znz? umewahi kusikia mauaji ya vikongwe znz? umewahi kuona mtu aliyechunwa ngozi znz?

nimepata kuona PADRI akipigwa risasi na mwandishi wa habari wa TVZ akipigwa jiwe akiwa kanisani. sasa ?mambo ya albino znz yatatoka wapi wakati wa znz wengi ni albino ndomaana wabara wanawindwa
 
huyu mjinga2 ndugu niwa2 wa mfumo ati pesa ya kununua bunduki kuua wabara wanazo!wazenj ni wa2 makin sana! na hal ngumu sio2 kwao hata bara mpaka ulaya eg ugirik ,spain

siyo bunduki tu, hata petroli ya kuchomea makanisa wanayo, fedha ya kununulia ma-boflo hawana. tuwaache wapumue waweze kununua ma-boflo lasivyo wataishia kununua petroli, risasi na mabomu ya kuulia wabara.
 
Kumbe hawa jamaa hawazingatii kanuni za mtu ni afya! mbona boflo zenyewe zimehifadhiwa kiuchafu chafu hivyo! halafu nadhani boflo ziko wazi zinapigwa na vumbi n.k
 
Aise Boflo kwani hiyo mikate ya boflo imepanda toka sh ngapi hadi kiasi gani? tujuze basi.
Biashara ya Mikate ya Boflo Zanzibar yadoda baada ya kupanda kwa bei
Wakazi wengi wa Visiwani Zanzibar wanapenda sana kutumia mikate ya Boflo kama ni chakula cha asubuhi,kutokana na kupanda bei kwa mikate hiyo hivi sasa hulundikana kwa wingi katika matenga kadhaa,pichani ni matenga ya mikate ikiwa imekaa wazi bila ya kufunika ukizingatia kipindi hiki cha upepo na mvua zinazonyesha.
 
aisee kuna watu wajinga sijapata kuona. wee mbara gani alouliwa na mzanzibari? umepata kuona jambazi mzanzibari? umewahi kusikia albino kauliwa znz? umewahi kuona kibaka akichomwa moto znz? umewahi kusikia mauaji ya vikongwe znz? umewahi kuona mtu aliyechunwa ngozi znz?

good umesema ya maana
 
nimepata kuona PADRI akipigwa risasi na mwandishi wa habari wa TVZ akipigwa jiwe akiwa kanisani. sasa ?mambo ya albino znz yatatoka wapi wakati wa znz wengi ni albino ndomaana wabara wanawindwa

sema tu unachuki zko binafsi na warab na wapemba ndo mana unajidai maalbino sabab hakuna acyejua wat waznz most of them ni warbu na wapemba
 
Biashara ya Mikate ya Boflo Zanzibar yadoda baada ya kupanda kwa bei
Wakazi wengi wa Visiwani Zanzibar wanapenda sana kutumia mikate ya Boflo kama ni chakula cha asubuhi,kutokana na kupanda bei kwa mikate hiyo hivi sasa hulundikana kwa wingi katika matenga kadhaa,pichani ni matenga ya mikate ikiwa imekaa wazi bila ya kufunika ukizingatia kipindi hiki cha upepo na mvua zinazonyesha.
Boflo +Boflo=
 
Last edited by a moderator:
nimepata kuona PADRI akipigwa risasi na mwandishi wa habari wa TVZ akipigwa jiwe akiwa kanisani. sasa ?mambo ya albino znz yatatoka wapi wakati wa znz wengi ni albino ndomaana wabara wanawindwa

nonsense! where is your proof? ww unaongea pumba au kiengereza tunasema Bullshit. Una ushahidi gani kama padri kapigwa na wazenji? na yule shehe jee kapigwa na wabara? mbona unaleta baseless accusation. Kwa taarifa yako Znz kuna makanisa na wakristo kwa zaidi ya miaka 200 na wacoexist peacefully na waislam. Kuna kanisa la kikatoliki lipo at the heart of mji mkongwe na limezungukwa na nyumba za waislam na halijachomwa moto. Kuna kanisa la mkunazini lipo jirani kabisa na msikiti mbona halijaguswa ? Msifanye watu wajinga. Hoja hapa ni waznz kudai nchi yao na nafikiri wanayo haki hiyo. haya mambo mengine tunajua yanafanywa na infiltrators ili kudivert attention ya watu na kudiscredit wanaharakati wa znz huru. over and out
 
Back
Top Bottom