Bodi ya mkopo

Mr. mfupa

Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
13
Reaction score
0
jaman hivi nikwel bodi ya mkopo imeachia majna? au mtu anapataje taarifa binafsi kuhusu bodi hyo?
 
ingia kwenye tovuti yako au wafate makao makuu yao pale mwenge jijini dar es salaam
 
Mikopo ya nini wakati elimu ni bure?
 
Hili ni jambo la kujiongeza tu wadau... kuna baadhi ya vyuo bado hawajatoa batch la 2nd round na bado tcu hawamaliza mchakato wa 3rd round sasa vip Hesbl wa release majina...?!. hizo ni habar michepuko tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…