Bodi ya mikopo

Bodi ya mikopo

ommy clear

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
214
Reaction score
58
Habari waungwana naomba kuuliza kwa yoyote anayejua hili naomba anisaidie , wakati wa kufanya maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa wale diploma holders kuna sehemu ya ku-attach matokeo ya diploma , je tuna attach copy ambayo ina mhuri wa mwanasheria au tuna-attach Yale original ambayo hayajagongwa mhuri alafu copy yake ndo tunagonga mhuri wa mahakama then tunatuma ile copy kwa ems au ikoje hapo ????? Naomba mwenye kujua anaelekeze apo
 
Unatuma copy yake iliyo na mhuri wa mwanasheria hiyo ni kwa njia ya posta lakini mtandaoni unajaza tu hiyo avn uliyopata kutoka nacte wao huko wataona matokeo yako moja kwa moja kutoka nacte.
 
Unatuma copy yake iliyo na mhuri wa mwanasheria hiyo ni kwa njia ya posta lakini mtandaoni unajaza tu hiyo avn uliyopata kutoka nacte wao huko wataona matokeo yako moja kwa moja kutoka nacte.
Mwaka huu sioni sehemu ya kuweka avn namba bali wameweka sehemu ya ku-upload matokeo tu mkuu
 
Back
Top Bottom