Wadau kuna watu humu ndani walisha wahi kusema unapofanya application za bodi ya mikopo cheti cha form 6 haki hakihitajiki. Je mbona kwenye zile form vyeti vyote vinahitajika F4 & F6 anae jua kuhusiana na hili wadau
Hili nihasa kwale form 6 wa miaka ya nyuma. Je, usipo ambatanisha ivo mfano cheti cha form 6 uka ambatanisha cha form 4 peke yake na vyeti vingine kutakua na matatizo sana?
ambatanisha kulingafana na mwongozo Wa form ukisikuliza maneno ya watu bila kuzingatia form inakwambia nini? boom utaishia kulisikia redio kama ndio unahitimu form six result slip!!!!!
Hili nihasa kwale form 6 wa miaka ya nyuma. Je, usipo ambatanisha ivo mfano cheti cha form 6 uka ambatanisha cha form 4 peke yake na vyeti vingine kutakua na matatizo sana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.