Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Bodi ya Mikopo ni hovyo sana sijui wanatumia criteria gani kuchagua Wanufaika maana hadi Watoto Yatima wanakosa Mkopo na vyeti vya Vifo vipo verified na ukiangalia Account ya Mwombaji kwenye application verification ipo Verified na bado anakosa Mkopo
Hii Bodi ni hovyo sana pamoja na Mkurugenzi wake hakuna wanalofanya Watoto maskini na Yatima wananyimwa Mkopo na vigezo vyote wanavyo
Mh Rais aliangalie hili kwa jicho la tatu Wanakwamisha ndogo za watu wengi wanashindwa kuendelea na vyuo kwa kukosa mkopo huku uwezo wa kulipia ada hawana
Abdul Badru ajiuzulu alichofanya kwa mwaka huu sio sahihi kabisa kama Yatima anakosa mkopo na vigezo vyote anavyo na Account yake imekuwa verified
Hii Bodi ni hovyo sana pamoja na Mkurugenzi wake hakuna wanalofanya Watoto maskini na Yatima wananyimwa Mkopo na vigezo vyote wanavyo
Mh Rais aliangalie hili kwa jicho la tatu Wanakwamisha ndogo za watu wengi wanashindwa kuendelea na vyuo kwa kukosa mkopo huku uwezo wa kulipia ada hawana
Abdul Badru ajiuzulu alichofanya kwa mwaka huu sio sahihi kabisa kama Yatima anakosa mkopo na vigezo vyote anavyo na Account yake imekuwa verified