Edward Aloyce Gerem
Member
- May 24, 2015
- 19
- 10
Kkama upo dar nenda bod ya mikopo ukaulize utaratibu umefika wapi...mbona nilisikiaga mmeshaletewa uko wanafunzi mliokuwa mis allocated.. Kama vile Udsm wamesha sain ...Body ya mikopo mwaka 2017/1018.ilitoa mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza .kulingana na mfumo wa uombaji wa nafasi za chuo kwenye vyuo husika...hii imepelekea wanafunzi wengi kupata multiple selection (kuchaguliwa zaidi ya chuo kimoja)
Halii hii ilipelekea heslb kupeleka pesa Kwenye chuo ambacho ni cha kwanza kumchagua mwanafunzi husika .hivyo pesa ya wanafunzi hawa ilipelekwa vyuo ambavyo vilikuwa vya kwanza kumchagua .mbali na hapo kwa sababu mwanafunzi alikuwa anauwezo wa kuchagua chuo gani aende ikiwa amechaguliwa kwenye chuo zaidi ya kimoja hivyo wanafunzi wengi waka thibitisha kwenda chuo ambacho heslb haijapeleka pesa take ..toka tarehe 28/10/wanafunzi hawa wamefika kwenye vyuo walivyo pangiwa huku hawana pesa .na kuna baadhi ya vyuo mpaka sasa bodi haija wapatia pesa zao hawa wanafunzi japo ...changamoto hapa in kwamba
-wanafunzi hawa wanaishije huko walipoo
-kama baso no link hawa wanafunzi watapewa has a pesa zao
Wadau wa elimu nimelileta kwenu yawezekana mkafanya jambo zuri na mambo yakawa vizuri kwa wanafunzi wengi was mwaka qa kwanza tanzania
Chuo gani hichoMimi mhanga wa hyo huku chuoni hamna kitu yaan nilipohakuna taarfa yoyote japo n chuo ni cha serkali mpka nimechukia wanafunz. Wanateseka yaan
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo mambo yalivo?aya c wa central zone vp au zilienda mjengoni[emoji1] [emoji1] [emoji1]Samahani pesa zenu tulizitumia kuwaandalia party pale Mliman City
Hayo n maneno tu kwan hata wiki ilopita walisema jumatatuTarehe 28 mtasiani madogo!"Mungu ibariki Tanzania"
Vyuo vimefungwa had mwakani..Tarehe 28 mtasiani madogo!"Mungu ibariki Tanzania"
We kama msomi jaribu kudurusu kazi yako kabla hujairuhusu kuingia kusomwa na kadamnasi mnatudhalilishaBody ya mikopo mwaka 2017/1018.ilitoa mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza .Kulingana na mfumo wa uombaji wa nafasi za chuo kwenye vyuo husika...hii imepelekea wanafunzi wengi kupata multiple selection (kuchaguliwa zaidi ya chuo kimoja)
Halii hii ilipelekea heslb kupeleka pesa Kwenye chuo ambacho ni cha kwanza kumchagua mwanafunzi husika .
Hivyo pesa ya wanafunzi hawa ilipelekwa vyuo ambavyo vilikuwa vya kwanza kumchagua .Mbali na hapo kwa sababu mwanafunzi alikuwa anauwezo wa kuchagua chuo gani aende ikiwa amechaguliwa kwenye chuo zaidi ya kimoja hivyo wanafunzi wengi waka thibitisha kwenda chuo ambacho heslb haijapeleka pesa take ..toka tarehe 28/10/wanafunzi hawa wamefika kwenye vyuo walivyo pangiwa huku hawana pesa na kuna baadhi ya vyuo mpaka sasa bodi haija wapatia pesa zao hawa wanafunzi japo ...changamoto hapa in kwamba
-Wanafunzi hawa wanaishije huko walipoo
-Kama baso no link hawa wanafunzi watapewa has a pesa zao
Wadau wa elimu nimelileta kwenu yawezekana mkafanya jambo zuri na mambo yakawa vizuri kwa wanafunzi wengi was mwaka qa kwanza tanzania
Asante ntalekebisha lakini ujumbe umefika amma badoWe kama msomi jaribu kudurusu kazi yako kabla hujairuhusu kuingia kusomwa na kadamnasi mnatudhalilisha
Kama upo Udom nadhan jana nililiona Tangazo kwenu mwende block flan room no.. flan wenye matatizo ya aina hyo ili kuonana na Waziri wenu....Asante ntalekebisha lakini ujumbe umefika amma bado
Mmmmmh haupo sahihi mkuluKama upo Udom nadhan jana nililiona Tangazo kwenu mwende block flan room no.. flan wenye matatizo ya aina hyo ili kuonana na Waziri wenu....
Na sidhani kama ulizielewa sheria na taratibu za chuo siku ya oriantation mlizoambiwa na uongozi wenu ...
Nb siyo mwana chuo mimi ila nilizipata somewhre