willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,083
- 1,326
Jamani hii bodi mimi sielewi kwanini hawajibu email zetu na hata ukipiga simu hawapokei, nini tatizo au nitumie nauli 70,000 niende Dar. Magufuli komesha hii kero.
jaman hii bodi mi sielewi kwanini hawajibu email zetu na hata ukipiga simu hawapokei nini tatizo au nitumie nauli 70000 niende dar . Magufuli komesha hii kero
mkuu heslb wana viburi sana ndugu we chamsingi we nenda mwenyewe kwa mguu hadi ofisi zao na uwakomalie kweli wenzio tulitoka huko.Jamani hii bodi mimi sielewi kwanini hawajibu email zetu na hata ukipiga simu hawapokei, nini tatizo au nitumie nauli 70,000 niende Dar. Magufuli komesha hii kero.