Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
TANZANIA
- Bodi ya ligi Tanzania (TPLB) imebadilisha kanuni kuhusu kufuzu michuano ya kimataifa Shirikisho CAF.
- Awali ilikuwa iwapo bingwa wa ligi kuu akitwaa pia ubingwa wa (FA) mshindi wa (2) FA ndiye anaye iwakilisha nchi kwenye michuano ya Shirikisho CAF.
- Lakini kwa sasa itakuwa iwapo bingwa wa ligi kuu akitwaa ubingwa wa FA pia basi mshindi wa pili (2) wa ligi kuu ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa.yaani Shirikisho (CAF).
- Bodi imedai lengo la kubadili kanuni hiyo ni kuongeza ushindani kwenye ligi kama utaratibu huu ungetumika mwaka jana msimu huu Simba na Yanga wangewakilisha nchi kimataifa, nini maon yako juu ya utaratibu huu?
- Bodi ya ligi Tanzania (TPLB) imebadilisha kanuni kuhusu kufuzu michuano ya kimataifa Shirikisho CAF.
- Awali ilikuwa iwapo bingwa wa ligi kuu akitwaa pia ubingwa wa (FA) mshindi wa (2) FA ndiye anaye iwakilisha nchi kwenye michuano ya Shirikisho CAF.
- Lakini kwa sasa itakuwa iwapo bingwa wa ligi kuu akitwaa ubingwa wa FA pia basi mshindi wa pili (2) wa ligi kuu ndiye ataiwakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa.yaani Shirikisho (CAF).
- Bodi imedai lengo la kubadili kanuni hiyo ni kuongeza ushindani kwenye ligi kama utaratibu huu ungetumika mwaka jana msimu huu Simba na Yanga wangewakilisha nchi kimataifa, nini maon yako juu ya utaratibu huu?