Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,239
Nasikia wamthibiti huko kwa watu WA auction kina majembe auction hadi usomee Sheria.Asithubutu mtu kutugusa madalali maana tutakachomfanya ni majuto.
Dah nilikosea nasikujua. Mimi ndie wa kulaumiwa kwasababu sikumshirikisha nilipoposti kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali AS aliyeuwawa kikatili kuutetea kuulinda na kuupigania uislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu.Una akili timamu kweli? Au hujaenda shule? Hiyo ni bodi ya ithibati ya waandishi wa habari tu, haihusiani na mambo mengine yasiyo ya uandishi wa habari. Ungesema ianzishwe bodi ya madalali ishughulike na wadau hao hapo ungeeleweka
Kuna bodi ya sukari, bodi ya maziwa na bodi ya nyama.Eti bodi ya ligi, bodi ya ithibati ya waandishi wa habari, tusishangae zikaja bodi zingine za kipuuzi zikaanzishwa. Walitaka kuanzisha bodi ya walimu sijui mpango huo uliishia wapi? Bodi ya filamu ipo, wanamuziki kaeni chonjo mtaanzishiwa bodi yenu, sijui watataka sifa gani huko kwenye muziki ili usajiliwe. Sasa ni mwendo wa bodi tu, tutabodika mpaka tukome
Tuunde bodi ya ithibati ya wanasiasaHii bodi isiishie tu kwa wana habari na waandishi iangazie pia kwenye udalali.
Kuna madalali wengi Sana ni Uchwara. Mbona wameweza kudhibiti watu wa auction hadi wawe wamesomea Sheria?
N'yadikwa
Sarafu yenu siyoNakfa nipo hapa kutoka Eritrea