Mukuu123
JF-Expert Member
- May 7, 2019
- 319
- 1,226
Yani mtu uko zako kitaani unapiga karibu na kituo cha Bodaboda mara wanaanza kupiga horn, mwingine ukimwangalia tu tayari ashawasha chombo anakufuata.
Sasa leo nilikuwa nimevurugwa mno sasa niko mitaa ya Tabata bima naona mtu ananipigia horn mno nilichokifanya aisee ni hatari sana Kwa yule bwana mdogo!
Sasa leo nilikuwa nimevurugwa mno sasa niko mitaa ya Tabata bima naona mtu ananipigia horn mno nilichokifanya aisee ni hatari sana Kwa yule bwana mdogo!
