Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
DAAH YANI BODABODA NDO IMEIFANYA NAMNA HII HII NISSAN SAFARI???DUU ALIPONA KWELI HUYO MWENYE PIKIPIKI?Ni kweli kifo sehemu yeyote ila hapa kipo jirani zaidiView attachment 1661999
Ipo siku yatakukutaAcha kuharibia biashara za vijana wanaojiajiri. Ajari husababishwa na kutozingatia sheria na alama za barabarani. Waache vijana wajiajiri
Ipo sikuDeath is everywhere
Ewe mama/ baba unaempakia mwanao au wanao wawili kwenye boda boda kupelekwa shule acha ufala ,upumbavu na uvivu. Boda boda ni kifo!
Ewe mdada wa chuo unaeupenda urembo wako na uzuri wako ,boda boda ni kifo.
Ewe boda boda tafuta kazi ya nyingine kufanya achana na huo upumbavu wa boda boda!
Hapo Dereva wa Boda hakuomba hata maji....h2h collision.Ni kweli kifo sehemu yeyote ila hapa kipo jirani zaidiView attachment 1661999
Kabodaboda ndo kamelifanya hivyo gari!!!!!!!!Ni kweli kifo sehemu yeyote ila hapa kipo jirani zaidiView attachment 1661999
Afadhali bajaj kidogo hasa kwenye speedmmmh Boda boda jamani,
wakifuatiwa na ndugu zetu bajaji Mungu awasaidie sana
Uko sahihi kabisa mkuu..Ewe mama/ baba unaempakia mwanao au wanao wawili kwenye boda boda kupelekwa shule acha ufala ,upumbavu na uvivu. Boda boda ni kifo!
Ewe mdada wa chuo unaeupenda urembo wako na uzuri wako ,boda boda ni kifo.
Ewe boda boda tafuta kazi ya nyingine kufanya achana na huo upumbavu wa boda boda!
Wewe ni mtata. Kwa nini ushindwe kutambua kwamba just one soul lost so recklessly ni hasara kubwa kwa taifa letu!???Uko sahihi kabisa mkuu..
Maana takwimu za vifo kwa mwaka 2020 zinaonesha kuwa wote waliokufa NI KUTOKANA NA BODA BODA.