Bodaboda na wake za watu

Asante kwa kujali rafiki. Nilikumiss though. Mgao huo nitaufungia safari kuufuata bila kujali nitaumia nauli kiasi gani kutoka huku niliko, lengo tu kuifuata NYAMA robo

πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ inaonekana una undugu na mafisi ww😷
 
Mkimaliza kujadili bodaboda, tuhamie kwa deleva tax tukimaliza twende kwenye bajaji tukimaliza twende kwa wachoma chips then tumalizie kwa hawa waosha kucha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NYIE WANAWAKE ACHENI HIZO MNAJIRAHISISHA SANA KWA BODABODA MTAACHWA KUTAFUNWA? KAMA UNAJIHESHIMU NA NDOA YAKO KUTAFUNWA HAIWEZEKANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…