GE2025 Bodaboda Mwanza wajipanga kumpokea Samia kwa kishindo

GE2025 Bodaboda Mwanza wajipanga kumpokea Samia kwa kishindo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Waendesha bodaboda jiji la Mwanza wamefanya maandamano ya amani ikiwa ni maandalizi ya kumpokea mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DKT. Samia Suluhu Hassan.

Wakizungumza Jijini Mwanza na waandishi wa habari, baadhi ya bodaboda hao akiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Bodaboda Wilaya ya Ilemela Nuru Abdu amesema lengo ni maandalizi ya kumpokea mgombea huyo kwa kusaidia kupunguza faini za usalama barabarani na kuwawekea mazingira mazuri ya kufanya kazi zao.

Mgombea Urais wa CCM Tanzania, anatarajiwa kuwasili jijini Mwanza Oktoba saba mwaka huu na kufanya mikutano ya hadhara na kuomba kura kwa wananchi waweze kumchagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.
 
Waendesha bodaboda jiji la Mwanza wamefanya maandamano ya amani ikiwa ni maandalizi ya kumpokea mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DKT. Samia Suluhu Hassan.

Wakizungumza Jijini Mwanza na waandishi wa habari, baadhi ya bodaboda hao akiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Bodaboda Wilaya ya Ilemela Nuru Abdu amesema lengo ni maandalizi ya kumpokea mgombea huyo kwa kusaidia kupunguza faini za usalama barabarani na kuwawekea mazingira mazuri ya kufanya kazi zao.

Mgombea Urais wa CCM Tanzania, anatarajiwa kuwasili jijini Mwanza Oktoba saba mwaka huu na kufanya mikutano ya hadhara na kuomba kura kwa wananchi waweze kumchagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.
10K wamepangwa
 
Waendesha bodaboda jiji la Mwanza wamefanya maandamano ya amani ikiwa ni maandalizi ya kumpokea mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DKT. Samia Suluhu Hassan.

Wakizungumza Jijini Mwanza na waandishi wa habari, baadhi ya bodaboda hao akiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Bodaboda Wilaya ya Ilemela Nuru Abdu amesema lengo ni maandalizi ya kumpokea mgombea huyo kwa kusaidia kupunguza faini za usalama barabarani na kuwawekea mazingira mazuri ya kufanya kazi zao.

Mgombea Urais wa CCM Tanzania, anatarajiwa kuwasili jijini Mwanza Oktoba saba mwaka huu na kufanya mikutano ya hadhara na kuomba kura kwa wananchi waweze kumchagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.
Kazi ya billion mia za akina Gsm
 
Wapo Kazini....; Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa....
 
Back
Top Bottom