Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Bodaboda wa eneo la Msata Mkoani Pwani wameahidi kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa amesaidia kuwapunguzia gharama za faini kutoka shilingi 30,000 hadi 10,000 pindi wanapopatikana na makosa ya barabarani.
Aidha, wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa kuwa maendeleo yaliyopatikana chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan yanaonekana.
Aidha, wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa kuwa maendeleo yaliyopatikana chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan yanaonekana.