Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,438
- 3,951
Siku mkeo au demu wako atakwambia kuwa huwa ana bodaboda wake basi jitahidi na wewe utafute mama nitilie wako. Wakati mwingine inakera sana, mtu kumng’angania mtu huyo huyo kwani hamna wengne wenye uwezo kama wakwake au wenye pikipiki kama yakwake au nzuri zaidi ya yakwake? kunani? Ana muunganishia mishe zake vizuri au anatumika kwenye….
