ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Nipo dodoma hapa mjini kwa wiki sasa nimependa jinsi hawa waendesha pikipiki walivyo wastaarabu kwa wateja wao na huu mtindo wa kuvaa kofia mteja na dereva. mikoa mingine ifuate utaratibu huu.
Vipi magonjwa juu ya kushare hizo helmet
Hata mimi nina wasiwasi wa kuambukizana kwa chawa na magonjwa mengine ya ngozi na mapunye. :A S angry:Vipi magonjwa juu ya kushare hizo helmet