Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,056
- 1,867
Kitendo cha kuwaamini boda boda kwa wake zetu na kuwapa ruhusa kwenda majumbani kuwachukua wake zetu na kuwapeleka sehemu yeyote.
Inabidi tuwe makini kwani kuna jamaa hapa mtaani kwetu amechukuliwa mke na boda moja kwa moja sasa anabaki anajilaumu.
Inabidi tuwe makini kwani kuna jamaa hapa mtaani kwetu amechukuliwa mke na boda moja kwa moja sasa anabaki anajilaumu.