Jaslaws JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 6,016 Reaction score 5,300 Sep 26, 2013 #21 iron woman said: how to apply plz Click to expand... Hizi kazi za mwez wa 7 unauliza how to apply leo?b serious pls..
iron woman said: how to apply plz Click to expand... Hizi kazi za mwez wa 7 unauliza how to apply leo?b serious pls..
T tugha Member Joined Aug 6, 2013 Posts 45 Reaction score 12 Sep 26, 2013 #22 Wahindi ni balaa ila kwavile sina kaz nyingine naona bora nikomae nao
ThinkPad JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,844 Reaction score 236 Sep 26, 2013 #23 Mimi nimefanya kazi na hao jamaa, hawana magumashi kwanza ukipiga nao kazi fresh wanakupandisha cheo bila kuangalia wewe ni muhindi au lah,
Mimi nimefanya kazi na hao jamaa, hawana magumashi kwanza ukipiga nao kazi fresh wanakupandisha cheo bila kuangalia wewe ni muhindi au lah,