Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,380
- 2,843
Wakuu, naomba msaada na ufafanuzi wenu kuhusiana na hizi kozi zinazotolewa MUHAS (Muhimbili University).
Wakuu nina ndugu yangu amechaguliwa kusomea Degree ya Maabara ya Microbiology (Bachelor of Medical laboratory sciences in Microbiology).
Sasa anaomba ushauri juu ya hii Kozi kwa wanaoijua ama waliyoisomea.
Msaada kwake kwa sababu mimi nimezoea ile BACHELOR OF MEDICAL LABORATORY SCIENCES. Sasa hizi za Specialist sijazijua kwa undani.
Msaada kwake kwa Mwangaza zaidi. Ili kama vipi aone jinsi ya kubadili aende hata Parasitology ama Haematology ama Histopathology ama BMLS GENERAL etc.
Wakuu nina ndugu yangu amechaguliwa kusomea Degree ya Maabara ya Microbiology (Bachelor of Medical laboratory sciences in Microbiology).
Sasa anaomba ushauri juu ya hii Kozi kwa wanaoijua ama waliyoisomea.
Msaada kwake kwa sababu mimi nimezoea ile BACHELOR OF MEDICAL LABORATORY SCIENCES. Sasa hizi za Specialist sijazijua kwa undani.
Msaada kwake kwa Mwangaza zaidi. Ili kama vipi aone jinsi ya kubadili aende hata Parasitology ama Haematology ama Histopathology ama BMLS GENERAL etc.