Nani kakwambia mi uwa najisikia vibaya? Mi niko poa tu wasipo comment najua ujumbe umefika ila haujawavutia na kwa vile nyingine zilizowavutia wana comment hivo sioni tatizo.
Kila mtu ana uhuru wa kukoment au kuacha.
Ni hayo tu uwa sijisijikii vibaya kama wewe