BLOGGERS: TRAFFIC TRICK KWA KUTUMIA QUORA

BLOGGERS: TRAFFIC TRICK KWA KUTUMIA QUORA

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,378
kama huna traffic kwnye blog yako usitegemee kupata hata mia, haijalishi blog desig ipo vizuri ama umenunua theme ya dola 300 ama umeweka plugins nzuri ukweli ni kwamba endapo hutapata traffic ni bora uendelee na shughuli nyingine tu.

Bloggers wengi sana wana ratiba huwa ni ngumu mno, kutafuta traffic, ataamka saa kumi alfajiri atashea hadi saa sita usiku na kupumzika masaa manne tu ili avute kitita ambacho watu wanadhani huwa kinajileta tu bila kuhaso,,,,Blogging is a pain in the a**, sio kazi ya kuichukulia poa hata kidogo, mambo yamebadilia tofauti kabisa na zamani auto posters zilivyokuwa zinasaidia ila kwa sasa wengi wanapiga manual na amini usiamini watu wapo na pc masaa 20 daily.

Sitapenda kuwachosha sana, Leo nitaelekeza namna ya kupata traffic kupitia mtandao maarufu wa maswali na majibu unaoitwa quora, Huu mtandao ni kama yahoo answers ya kizazi kipya, Mamilioni ya watu kila siku huperuzi quora ili kuuliza maswali, kusoma majibu, n.k So its basically a traffic machine kwa bloggers.

Wengi hadi sasa watakua wanafikiri kwamba "oh its easy, nikiona swa natia jibu kwa kuweka link ya blog yangu yeye majibu" NO NO! NO! Utalamba ban chap sana

Ntaendelea badae
 
Hata sijaelewa labda ngoja nimepeleke gari car wash alafu nitarudi kosoma coment
 
Kweli kabisa ukiweka link moderators wa Quora wanakutekenya.
 
Ivi ni kwanin watu wanazo trick kibao za kupiga hela kwenye adsense lakin hawataki kushare humu ? Jibu ni kuwa wabongo wakishajua kitu wanakifanya kwa fujo mno MFANO HAI kwa sasaivi hii nyuzi ilivyotolewa japo haijamaliziwa ukienda kwenye website ya QUORA utakutana na link kibao za blogger wa kibongo zimejazana huko
 
Ivi ni kwanin watu wanazo trick kibao za kupiga hela kwenye adsense lakin hawataki kushare humu ? Jibu ni kuwa wabongo wakishajua kitu wanakifanya kwa fujo mno MFANO HAI kwa sasaivi hii nyuzi ilivyotolewa japo haijamaliziwa ukienda kwenye website ya QUORA utakutana na link kibao za blogger wa kibongo zimejazana huko

Endelea mkuu
 
kama huna traffic kwnye blog yako usitegemee kupata hata mia, haijalishi blog desig ipo vizuri ama umenunua theme ya dola 300 ama umeweka plugins nzuri ukweli ni kwamba endapo hutapata traffic ni bora uendelee na shughuli nyingine tu.

Bloggers wengi sana wana ratiba huwa ni ngumu mno, kutafuta traffic, ataamka saa kumi alfajiri atashea hadi saa sita usiku na kupumzika masaa manne tu ili avute kitita ambacho watu wanadhani huwa kinajileta tu bila kuhaso,,,,Blogging is a pain in the a**, sio kazi ya kuichukulia poa hata kidogo, mambo yamebadilia tofauti kabisa na zamani auto posters zilivyokuwa zinasaidia ila kwa sasa wengi wanapiga manual na amini usiamini watu wapo na pc masaa 20 daily.

Sitapenda kuwachosha sana, Leo nitaelekeza namna ya kupata traffic kupitia mtandao maarufu wa maswali na majibu unaoitwa quora, Huu mtandao ni kama yahoo answers ya kizazi kipya, Mamilioni ya watu kila siku huperuzi quora ili kuuliza maswali, kusoma majibu, n.k So its basically a traffic machine kwa bloggers.

Wengi hadi sasa watakua wanafikiri kwamba "oh its easy, nikiona swa natia jibu kwa kuweka link ya blog yangu yeye majibu" NO NO! NO! Utalamba ban chap sana

Ntaendelea badae

Nasubiri..Huwaga haukosei
 
Back
Top Bottom