Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
wajinga wajinga wako wengi huku UK utawaona kwa mamia wanajiunga ccm!!!Upuuzi mtupu, kweli mtu na akili yako timamu unaweza kushabikia cccm ulaya???Mie ujinga huu wala haunipotezei muda niache nikapige box langu upumbavu huu wanao sana watu hapo London lakini sie watu wa mkoa hatuna muda wa kipumbavu wa kupoteza eti kuusikiliza utumbo huo.ila wengi wao wanaopenda mambo hayo hata MAISHA HUKU UK YALISHAWASHINDA KWA HIVYO WANAONA PA KUKIMBILIA NI HUKO CCM_LONDON!!!!!!!!!Upuuzi mtupu.,
Mkuu nashukuru kwa kuliona hili, ukiangalia kwa makini hao jamaa wengi
wa london/UK ni zao la hao hao mafisadi itakuwa ndio sababu kubwa
manake kwa hali ya kawaida, mtu hauwezi kufanya ushabiki wa chama
wakati unaona wazi hakuna haki yeyote nyumbani Tanzania.