bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,651
Habari zenu wana JF mliomo humu, kwa heshima na adabu naombeni msaada katika kueleweshwa kuhusiana na mambo yafuatayo:
-Hivi kati ya Blog, website na application ni kipi chenye ushawishi mkubwa zaidi kwa wasomaji endapo vitakuwa na content sawa??
-Ni kipi hasa kina uwezo wa kubeba content nyingi zaidi kuliko kingine??
Nikihitaji kufanyia biashara ya matangazo kupitia mitandao ya matangazo kama Google AdSense na mingineyo ni kipi hasa kinaweza kuwa na return nzuri zaidi km vyote vitakuwa na content sawa??
-Je bei za hivyo vitu vitatu(3) yaani blog, website na application zipoje kiuhalisia kwa anayekutengenezea hasa hasa akiwa expert na sio mwanafunzi??
Baada ya kutengenezewa kuna process yoyote ya kufuata ili uwezo kuwa mmiliki halali na usiibiwe content zako na wajanja maana nimesikia mara nyingi kuhusu hiki kitu KUNUNUA DOMAIN but sijajua nini maana yake.
Je, baada ya kutengenezewa blog, web au app nitasaidiwa kufeed na content za information ninazotaka kupost au nafundishwa namna ya kufeed mwenyewe??
Mwisho ningependa kupewa tahadhari yoyote kuhusiana na blog, web au app nitakayokuwa nimetengenezewa ili nisilizwe pindi ambapo itakuwa na mvuto hivyo kupata viewers wengi.
Tafadhali naombeni msaada kwa maswali niliyouliza na pia kama kuna nyongeza kwa kile ambacho sijauliza basi mwenye kujua namkaribisha.
Ahsanteni.
-Hivi kati ya Blog, website na application ni kipi chenye ushawishi mkubwa zaidi kwa wasomaji endapo vitakuwa na content sawa??
-Ni kipi hasa kina uwezo wa kubeba content nyingi zaidi kuliko kingine??
Nikihitaji kufanyia biashara ya matangazo kupitia mitandao ya matangazo kama Google AdSense na mingineyo ni kipi hasa kinaweza kuwa na return nzuri zaidi km vyote vitakuwa na content sawa??
-Je bei za hivyo vitu vitatu(3) yaani blog, website na application zipoje kiuhalisia kwa anayekutengenezea hasa hasa akiwa expert na sio mwanafunzi??
Baada ya kutengenezewa kuna process yoyote ya kufuata ili uwezo kuwa mmiliki halali na usiibiwe content zako na wajanja maana nimesikia mara nyingi kuhusu hiki kitu KUNUNUA DOMAIN but sijajua nini maana yake.
Je, baada ya kutengenezewa blog, web au app nitasaidiwa kufeed na content za information ninazotaka kupost au nafundishwa namna ya kufeed mwenyewe??
Mwisho ningependa kupewa tahadhari yoyote kuhusiana na blog, web au app nitakayokuwa nimetengenezewa ili nisilizwe pindi ambapo itakuwa na mvuto hivyo kupata viewers wengi.
Tafadhali naombeni msaada kwa maswali niliyouliza na pia kama kuna nyongeza kwa kile ambacho sijauliza basi mwenye kujua namkaribisha.
Ahsanteni.