Hapo Cha Muhimu Labda Articles Kama Ni Unique Lakini.Ni Blogspot.
mkuu vipi mbona haujaweka adsHapo Cha Muhimu Labda Articles Kama Ni Unique Lakini.
Kama Hiyo Yako Ni Tsh 50,000.
Je, Ingekuwa Mfano Labda Kama Hii AjiraAlerts | The Home of Smarter Job Seekers. A Trusted Gateway to Your Dream Career ! Ungeuza Kiasi Gani ?
Sijui !mkuu vipi mbona haujaweka ads
Hapana.Unamaanisha hujui kuweka ads?
Blog ina umri wa mwezi mmoja.
High quality posts 20 zote za kiingereza,
700-1500 words/post,
Niche -Travel
Bei elfu 50 tu(We can negotiate),
Haina adsense, mnunuzi utaongezea posts kadhaa kisha uapply adsense mwenyewe.
Sababu ya kuiuza: Nimekosa muda wa kuisimamia!
Kama uko interested nakutumia link inbox uikague.
Nimekuuliza ili uelezee if there's anything unique about your blog. Not that I want to open up a new blogNi vema pia kama unaweza kufanya hivyo!
unaweza kuweka link to the blogNi unique kwa sababu ina 20 very unique and of high quality posts ambazo siyo rahisi kutengeneza blog mpya na kuziandika. Karibu nipe offer yako!
Best of luck brotherglobesafaris.blogspot.com
Weka takwimu za organic traffics na keywords zinazokupa organic traffic toka google, yahoo, bing au aol.globesafaris.blogspot.com
Biashara njema.Bado sijaisubmit kwa search engines. Atakae nunua atafanya hivyo yeye peke yake.